Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Nami nilikuelewa as you were trying to quote Dr Bana.Michango yangu yote humu jukwaani ni kwaajili ya watu wenye uelewa mpana uliotukuka kama anavyosemaga mkuu GENTAMYCINE
Kama wewe uelewa wako ni tia maji tia maji ni ngumu sana kunielewa mkuu!
Mwalimu wa HistoriaKawaida kwa maprofesa na madokta wengi wametokea huko.Na wengi zaidi ni from Grade IIIA/B Teachers.
Wahaya kajipangeni upya.Usimlaumu mtu kwa kosa dogo la tarehe tu. Maeneo mengi amefafanua vyema.
Hii statement yako imenikumbusha kitu kimoja cha zamani zana. Mwaka 2015, JK wakati anatangaza Baraza lake la kwanza kabisa la Mawaziri, mara baada ya kusoma jina la mwisho kabisa kwenye orodha ya majina ya Mawaizri aliokuwa amewateua, alitamka maneno haya "KAPU LIMEFUNGWA, UWAZIRI HUWA HAUSOMEWI"Duh Mfinanga kaikosa hiyo nafasi.. Yule Prof Mfinanga si mtu wa mchezo mchezo.
Vp kwani, ametenguliwa au amekufa?Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.
Tume ya Madini DodomaProf.I.Kikula yupo wapi?
Hapana, alistaafu mwaka 2017!Vp kwani, ametenguliwa au amekufa?