Kumbe Kikwete nae aliwahi kupanga na kuwa kwake serikalini miaka yote, kweli maisha ni safari nitafika tu.
Sina mapenzi na ccm ila tukio hili sidhani kama kuna siasa ndani yake, ili iweje kwa rais mstaafu?Cheap politics za CCM kama kawaida yao.
CCM ni ile ile oooh ni ile ile.Sina mapenzi na ccm ila tukio hili sidhani kama kuna siasa ndani yake, ili iweje kwa rais mstaafu?
Wafanyakazi wote wa serikalini huanzia maisha kwenye nyumba zao?! Sikulijua hili!Kumbe Kikwete nae aliwahi kupanga na kuwa kwake serikalini miaka yote, kweli maisha ni safari nitafika tu.
Civilized, educated and matured
???????!!!!!!!The coolest President ever...I think followed by Mwalim
Ni baraka Sana kuwakumbuka wazee. Hongera jmk
Ka JK kana mbwembwe haka kazee!Baba mwenye nyumba huyo anaenda kwa Jina la Mzee Andrew na mkazi wa Singida
Mzee Kikwete na familia yake waliamua kumtembelea Mzee huyo ili kumjuliana hali na kukumbushana ya miaka mingi!
Ikumbukwe kuwa Mhesh Kikwete pia ni Mwenyekiti Mstaafu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kabla ya kumkaribisha wadhifa huo Mhesh John Pombe Magufuli
Sure.Maisha hatua.Ila ukilala tu utalaliwaKumbe Kikwete nae aliwahi kupanga na kuwa kwake serikalini miaka yote, kweli maisha ni safari nitafika tu.
Mimi nimesema hivyo nikaulizwa eti kwani JK anagombea cheo gani?hahahah.Sasa kuna tatizo gani. Cheap political
We jamaa umenifanya nicheke kama mjingaAcha ujinga hakuna anayezaliwa na nyumba labda kobe
Jomba uchaguzi uliopita hata kushindana waliogopa na kuleta kura feki, au hilo pia hulijui mkuu?Dogo ebu piga picha, CCM hawana ubongo na wanashindana wanashinda kwa KISHINDO! Jiulize hao walioshindwa wana nini vichwani mwao!
Mkuu so wew una miaka 40+?Hili tukio limenikumbusha mbali sana. Mwaka 2009, nimeenda Singida na mzee wangu kukagua nyumba yake, nilipozaliwa humo miaka 40 iliyopita, wapangaji wamemsumbua kulipa kodi anaigeuza lodge. Sasa mikoani TV wanatumia cable, tukaelekezwa kampuni ya cable inaitwa Faisal ya msomali fulani hivi, kufika mmiliki anatupokea, hamadi ni baba mwenye nyumba wa mzee kabla hajajenga nyumba hii anayoigeuza lodge. Stori zilizofata hapo hata kilichotuleta kikasahauliwa. Kweli kuishi vizuri na watu ni akiba isiyooza!
Miaka yote kawa waziri na rais hakumkumbukaBaba mwenye nyumba huyo anaenda kwa Jina la Mzee Andrew na mkazi wa Singida
Mzee Kikwete na familia yake waliamua kumtembelea Mzee huyo ili kumjuliana hali na kukumbushana ya miaka mingi!
Ikumbukwe kuwa Mhesh Kikwete pia ni Mwenyekiti Mstaafu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kabla ya kumkaribisha wadhifa huo Mhesh John Pombe Magufuli
Umeelewa nilichoandika? Mtu ambaye hana ubongo anakuibia wewe na anafanikiwa. Wewe utakuwa una nini?Jomba uchaguzi uliopita hata kushindana waliogopa na kuleta kura feki, au hilo pia hulijui mkuu?