Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akutana na aliyekuwa baba mwenye nyumba aliyokuwa amepanga wakati akiishi mkoani Singida

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akutana na aliyekuwa baba mwenye nyumba aliyokuwa amepanga wakati akiishi mkoani Singida

Baba mwenye nyumba huyo anaenda kwa Jina la Mzee Andrew na mkazi wa Singida

Mzee Kikwete na familia yake waliamua kumtembelea Mzee huyo ili kumjuliana hali na kukumbushana ya miaka mingi!

Ikumbukwe kuwa Mhesh Kikwete pia ni Mwenyekiti Mstaafu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kabla ya kumkaribisha wadhifa huo Mhesh John Pombe Magufuli

Amekumbuka kitu ambacho wengi wetu hatukikumbuki "kutembelea waliokupangisha" - nami nitaenda manyoni kwa Langibouri, Emma, na Mwl Mwandezi.

Lkn tukipata madaraka tuwakumbuke pia kubadili hali zao za maisha
 
U cheap uko wapi hapo?
Uko hapa
ElmOZ0cX0AYmNPa.jpg
 
Singida wavivu sana kujenga nyumba,hiyo nyumba ya tope,halafu ni ya miaka ya 70 lakini bado ipo katikati ya mji,,
Mjini kati kuna mitaa kibao yenye nyumba za aina hiyo
 
Sasa ndio ukute baba mwenye nyumba alikuwa anadai kodi kibabe sijui anajisikiaje hapo halafu hivi eti marais wastaafu huwa wanaongozana na walinzi wangapi wakiwa kwenye mishe zao
 
Baba mwenye nyumba huyo anaenda kwa Jina la Mzee Andrew na mkazi wa Singida

Mzee Kikwete na familia yake waliamua kumtembelea Mzee huyo ili kumjuliana hali na kukumbushana ya miaka mingi!

Ikumbukwe kuwa Mhesh Kikwete pia ni Mwenyekiti Mstaafu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kabla ya kumkaribisha wadhifa huo Mhesh John Pombe Magufuli

Lazima uwe na akili nyingi Sana kujuwa hii picha na maana yake. Asante Mzee. Upo vizuri.
 
Usije ukakuta Baba Mwenye Nyumba aliwahi kuwa Baba Mkwe kwa muda nyakati hizo bila ya kujijua na pengine Ukwe ndio umemvutia Mzee Kikwete kuja kusabahi
Baba mwenye nyumba ni wa kumheshimu, anajua siri nyingi. Anajua michepuko yote ambayo Jakaya alikuwa anaiingiza.

Mizigo ya kila aina.
 
Back
Top Bottom