Rais mstaafu Joseph Kabila kugombea Urais wa klabu ya AS Vita

Rais mstaafu Joseph Kabila kugombea Urais wa klabu ya AS Vita

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Taarifa kutoka DR Congo zinasema Rais mstaafu wa DR Congo Joseph Kabila, atagombea nafasi ya urais wa klabu ya AS Vita katika uchaguzi mkuu utakayofanyika mwezi ujao. Atapambana na rais wa sasa wa klabu hiyo Amissi Tango na akishinda atahudumu had mwaka 2023. Iwapo atashinda Kabila atapambana na Moise Katumbi mwekezaji wa klabu ya TP Mazembe kwenye masuala ya Mpira.
Kabila amepania kupambana na hasimu wake Moise Katumbi aliekuwa anaishi uhamishoni wakati yupo madaraki
60981969_838790406500739_713643064299618304_n.jpeg
 
Back
Top Bottom