Rais Mstaafu Kikwete, akiwa Kiongozi wa Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya akutana na Wageni mbalimbali

Rais Mstaafu Kikwete, akiwa Kiongozi wa Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya akutana na Wageni mbalimbali

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
IMG-20220805-WA0017.jpg
IMG-20220805-WA0016.jpg
IMG-20220805-WA0019.jpg
IMG-20220805-WA0018.jpg

Mheshimiwa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Kiongozi wa Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Fred Matiang’i, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya tarehe 9 Agosti 2022
IMG-20220805-WA0023.jpg
IMG-20220805-WA0021.jpg
IMG-20220805-WA0020.jpg
IMG-20220805-WA0022.jpg

Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Mulatu Teshome, Rais Mstaafu wa Ethiopia na Kiongozi wa Timu ya Mamlaka ya Kiserikali kuhusu Maendeleo (IGAD) ya Uangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya.
 
View attachment 2315206View attachment 2315207View attachment 2315208View attachment 2315209
Mheshimiwa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Kiongozi wa Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Fred Matiang’i, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya tarehe 9 Agosti 2022
View attachment 2315213View attachment 2315214View attachment 2315215View attachment 2315216
Mheshimiwa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akiwa Kiongozi ya Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya, ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Mulatu Teshome, Rais Mstaafu wa Ethiopia na Kiongozi wa Timu ya Mamlaka ya Kiserikali kuhusu Maendeleo (IGAD) ya Uangalizi wa Uchaguzi nchini Kenya.
Hii nafasi Magufuri angepewa na nani,chema chajiuza kibaya chajitembeza.
 
tanzania ipo viwango vingine kabisaa.....

mwenye jicho la ziada na aone.
 
SISYPHUS the King of Corinth, was once dubbed a smartest man in all of Greece.
He cheated the god of death Thanatos, and made fool of the gods of Olympus..
But like any other greedy ruler before him, he eventually ran out of tricks...

NB: Even our Sisyphus will run-out of tricks.......
 
SISYPHUS the King of Corinth, was once dubbed a smartest man in all of Greece.
He cheated the god of death Thanatos, and made fool of the gods of Olympus..
But like any other greedy ruler before him, he eventually ran out of tricks...
That he will go by the same path as
Man from chato
Man from lupaso
Man from butiama?
Or I've just misunderstood you
 
Back
Top Bottom