Rais wa Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye amemtunuku medali Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe Jakaya Kikwete kwa mchango wake katika harakati za kurejesha amani nchini Burundi.
Chanzo: ForeignTanzania
Sisi akina Mzukulu tunaomba tuambiwe haraka kama Rais Mstaafu huyu Jakaya Mrisho Kikwete ana Vinasaba vya Uhutu kutoka nchini huko Burundi.
CHAPISHO zuri lakini muda umekwenda...
Mpwaa naona unatutafuta ubaya wee kwi kwi kwi....
Kwa harakaharaka;
Wahutu Wahutu Wahutu Wahutu
Miaka mingi nyuma huko,baadhi ya WAAFRIKA WEUSI TII waliokuwa WANAISHI CAMEROON ya sasa waliamua kutafuta maeneo mengine yenye rutuba na Hali ya hewa nzuri.
Kama KAWAIDA ya misigano ya Koo na Vita vya kikabila,msukumo huo ULIWAFIKISHA MAENEO YA GABON,wengine walifika afrika ya Kati,wengine wakafika eneo la Kongo ya Brazaville,Ruanda na Urundi ya sasa na wengi wakafikia misitu ya Kongo Kinshasa.
WATU HAWA NDIO WALIOKUJA KUITWA WABANTU...
WABANTU wakasambaa mashariki na kusini mwa ziwa Tanganyika,wakazaliana hapa Tanganyika,Uganda,Kenya,Zambia,Malawi,Msumbiji,Zimbabwe,Lesotho,Eswatini,Namibia mpaka Afrika ya kusini.
Makabila yote ya Tanzania kasoro machache kabisa yakaieneza asili yao ya UBUNTU.....
KIASILI WABANTU NI WAFUGAJI ILA SI KWA UKUBWA SANA.HAWA WANAISHI KWA KUWINDA,KURINA ASALI NA KULIMA.
Ukiwaangalia utauona wajihi wao wa weusi wa RANGI ya kukoza, KAVU ISIYOMETAMETA.Wana vimo vifupi,vifua vipana,mikono yenye nguvu,kule juu shingo zao ni fupi,vichwa vikubwa na mviringo,usoni pua kubwa pana na bapa.Macho yao madogo na ya saizi ya Kati,pia ya rangi nyeusi.Wana nywele nyeusi,kavu na kipilipili.
NITAENDELEA