Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kumbe Mbatia na Lipumba ni CCM wenzetu?Sasa mbona hajavaa barakoa?
Hata sijui.Mkuu, kumbe Mbatia na Lipumba ni CCM wenzetu?
Ongeza povu hili mbona dogo sana
Kama huo ni ukweli wekeni Sanduku la kura muone idadi ya Watanzania wenye ubovu wa kufikiri ilivyo kubwa. Mradi uchaguzi uwe huru na wa haki.Hiyo ni ile Kipindi anaenda Marekani kabla ya Covid-19. Tundu Lissu hana uwezo wa kupata kura za URAIS zaidi ya asilimia 2% na watakao mpigia kura ni wale wenye ubovu wa kufikilia.