Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Binadamu mwenye akili timamu hawezi "kufikilia".Hiyo ni ile Kipindi anaenda Marekani kabla ya Covid-19. Tundu Lissu hana uwezo wa kupata kura za URAIS zaidi ya asilimia 2% na watakao mpigia kura ni wale wenye ubovu wa kufikilia.