Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
mungu wa ufipa?Huyo analindwa na mungu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mungu wa ufipa?Huyo analindwa na mungu tu
Anae vaa ni yupi?Sasa mbona hajavaa barakoa?
Mimi.Anae vaa ni yupi?
Basi endeleaMimi.
Kwani uchaguzi wa chama cha walemavu tanzania(chachawata) umekaribia??
Unataka niache?Basi endelea
Land Cruiser No XYR346 NCD na Prado Namba PT zipo Airport zinamsubiri na mawaridi mekundu
Mwoga huyo kama kunguru, akijitahidi kuja atafikia kenya.
Mwoga hu
Mwoga huyo kama kunguru, akijitahidi kuja atafikia kenya.
Magufuli hana uwezo wakupata hata hizo ulizozitaja badala yake atatumia nguvu za dola maana ndilo kimbilio lake.Hiyo ni ile Kipindi anaenda Marekani kabla ya Covid-19. Tundu Lissu hana uwezo wa kupata kura za URAIS zaidi ya asilimia 2% na watakao mpigia kura ni wale wenye ubovu wa kufikilia.
mungu wa ufipa?
Kwani kwenu kuna corona ?Sasa mbona hajavaa barakoa?
Afadhali, ameamua kufuata ushauri wangu huu.
We nyumbu baada ya kumvunja vunja si mlitegemea asiamke milele sasa chuma kimesimama unabwabwaja kama unalambishwa mkojo!Kwani uchaguzi wa chama cha walemavu tanzania(chachawata) umekaribia??