richard kaswalala
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 246
- 134
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunaandaa makofi na vigele gele kwa Rais mtarajiwa Lissu
Uyo anawapa kiwewe sana ndiyo maana mkawaza kumuuaHuyu lofa si anakesi za jinai mahakamani,atatoboa kweli?,bado file lake kule milembe ,
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
subiri utaonaAmiri jeshi mkuu
Sasa atakaguaje gwaride wakati yeye ni unfit!
Pole sana ila tunaomba picha ya machozi kama hautojaliNimemuangalia lissu anatembea machozi yakanitoka .
Lisu maskini ugombea uraisi kwa Sasa Enzi hizi unatakiwa kuwa na pesa zako binafsi za kwako za kutosha kwa kampeni au chama kiwe nazo Kama Huna.Chadema pesa hakina na Lisu Hana ni paradox!!!Tukituma picha zenu mlizovaa oversized suti mnasema mmenyanyaswa
Nakwambia pangekuwa na fukuto la ajabu na jiwe angemaliza watu na asingekubali hata chembe. Ila ingependeza mno.Sky Eclat,
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
Kuna mtu atajinyongaKivipi yaani na wakati wamesha mvua uanachama?
Hata tukitoa 1,000 kila mtu supporters wake zitatosha kufanyia kampeni na change itabaki ya kununulia bullet proof gari ya Rais Tundu Antipas Lissu.Lisu maskini ugombea uraisi kwa Sasa Enzi hizi unatakiwa kuwa na pesa zako binafsi za kwako za kutosha kwa kampeni au chama kiwe nazo Kama Huna.Chadema pesa hakina na Lisu Hana ni paradox!!!
Chadema wakipitisha Lofa Lisu wakati chama pia hela hakina za kampeni Ni kituko kitashindwa mapema asubuhi
Kikao cha kupitisha mgombea mtukufu atakuwemo kwani?Hivi si aliondolewa uanachama au alisharudi mkuu...?
Kikao cha kupitisha mgombea mtukufu atakuwemo kwani?
nahisi hatokuwemo sababu ni mgombea ndiyo hapo JK atampiga choko chembe
LockupKWELI NYUMBU UTAWAJUA. NYIE SI NDIYO MNALILIA LOCKUP- DOWN? HALAFU LEO ETI MBONA AFRIKA MAAMBUKI NI MADOGO, DUH KWELI MUNGU AWAHURUMIE TUU
hakuondolewa mkuu lilitolewa tu pendekezo aondoleweYes hawakuwepo mtukufu, lakini Membe si niliskia aliondolewa uanachama sasa atagombea kwa ticket ipi mkuu...?
hakuondolewa mkuu lilitolewa tu pendekezo aondolewe
ubunge si alimuachia nape 2015Oooh Owkay kwa hiyo bado ni Mbunge pia right...?
ubunge si alimuachia nape 2015