Uchaguzi 2020 Rais mtarajiwa 2020 yuko safarini kurudi nyumbani

Uchaguzi 2020 Rais mtarajiwa 2020 yuko safarini kurudi nyumbani

Rais mwanasheria anaeogopa kufanya maamuzi kisa nchi itashtakiwa MIGA hana msaada kwa Taifa
 
Afadhali, ameamua kufuata ushauri wangu huu.
1. Mimi ni miongoni mwa tuliomshauri Lissu agombee,
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

2. Alipopata nafuu, na kuanza kuongea na media, nikadhania kuwa hata rejea na akirejea ni shujaa mkubwa.
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

3. Aliposita kurejea mpaka ahakikishiwe usalama wake, nilimshauri
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Hivyo hii huenda ndio utekelezaji wa ushauri huo

P
super genious, bravo
 
Kazi kwetu tunaotaka kuirejeshea haki yetu waTanzania kuwa Raia-Huru, Watu-Huru katika nchi yetu kwa kuuondoa utawala wa CCM Mpya kupitia sanduku la kura hapo Oktoba 2020.
 
Hiyo ni ile Kipindi anaenda Marekani kabla ya Covid-19. Tundu Lissu hana uwezo wa kupata kura za URAIS zaidi ya asilimia 2% na watakao mpigia kura ni wale wenye ubovu wa kufikilia.
Kwakweli bora CCM isifanye tu kampeni sio?
 
Sipingi,ila kuna vitu vinajulikana na vinaonekana wazi kabisa haviwezekani,ila bado mtu anakaza mishipa,anakomaa navyo,ni kupoteza mda kiukweli.
Mpka hapo ushapinga watu kama wewe wanafiki sana
 
Zawadi pekee watanzania kumzawadi mpambanaji,shujaa ,mzalendo,mkweli lissu ni urais.

kwan uraisi ushakua ni zawadi? utajua hujui tu, ndo maana kila mkiulizwa mkipewwa nchi mtafanya nn hamna majibu , kazi kwel kwel chadema
 
Back
Top Bottom