900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
utakuwa unaoteshwaEti rais mtarajiwa, unaota nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuwa unaoteshwaEti rais mtarajiwa, unaota nini
Kwa hiyo?labda unapingana na jiwe kwamba corona imeisha hakuna haja ya kuvaa ka-barakoa
Hivi Mwenye picha amekuruhusuje utumie picha yake kwenye avatar yako?Kwa hiyo?
Sijui.Hivi Mwenye picha amekuruhusuje utumie picha yake kwenye avatar yako?
kwakweliMwoga hu
Mwoga huyo kama kunguru, akijitahidi kuja atafikia kenya.
super genious, bravoAfadhali, ameamua kufuata ushauri wangu huu.
1. Mimi ni miongoni mwa tuliomshauri Lissu agombee,
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
2. Alipopata nafuu, na kuanza kuongea na media, nikadhania kuwa hata rejea na akirejea ni shujaa mkubwa.
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
3. Aliposita kurejea mpaka ahakikishiwe usalama wake, nilimshauri
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Hivyo hii huenda ndio utekelezaji wa ushauri huo
P
bibi yako anakaguaje babu yako?Amiri jeshi mkuu
Sasa atakaguaje gwaride wakati yeye ni unfit!
Sasa mbona hajavaa barakoa?
Halafu?Mwambie jiwe avae
Nimemuangalia lissu anatembea machozi yakanitoka .Sisi tunaandaa makofi na vigele gele kwa Rais mtarajiwa Lissu
Kwakweli bora CCM isifanye tu kampeni sio?Hiyo ni ile Kipindi anaenda Marekani kabla ya Covid-19. Tundu Lissu hana uwezo wa kupata kura za URAIS zaidi ya asilimia 2% na watakao mpigia kura ni wale wenye ubovu wa kufikilia.
Tukituma picha zenu mlizovaa oversized suti mnasema mmenyanyaswaana check in hata bag dogo hana anarudi lofa mikono mitupu na nguo alizovaa za mitumba tu
Watu mnaoooflwaa mara nyingi mnakuwaga ivyoKwani uchaguzi wa chama cha walemavu tanzania(chachawata) umekaribia??
Sasa hasira za nini.Mimi nitakukumbusha ifikapo october. Utajijua kuwa IQ yako ni very low.
Mpka hapo ushapinga watu kama wewe wanafiki sanaSipingi,ila kuna vitu vinajulikana na vinaonekana wazi kabisa haviwezekani,ila bado mtu anakaza mishipa,anakomaa navyo,ni kupoteza mda kiukweli.
Zawadi pekee watanzania kumzawadi mpambanaji,shujaa ,mzalendo,mkweli lissu ni urais.