Elections 2010 Rais mteule 2010 na nafasi za kazi

Elections 2010 Rais mteule 2010 na nafasi za kazi

Mshiiri

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
2,012
Reaction score
512
Hivi mbona rais wa Tanzania naye hatangazi nafasi za kazi tukaapply au hao waliopo wanaendelea kuwapo ikiwa hawajachujwa kwa kiwango ndo maana wanafisadi? Hebu angalia baada ya kuapishwa Obama mara moja ishu ikawa out wazee wakajichukulia ajira . https://app2.whitehouse.gov/ppo/paper_app/Presidential_Appointments_Application.pdf Nchi nzima! Ama kwa njia hii ajira walau milioni tano kwa Tanzania zingezaliwa.
 
Ni nafasi zipi haswa ungetaka zitangazwe? Kumbuka kuna nafasi za kuteuliwa na nafasi zingine ni mtu anapanda cheo within the ranks of the civil service. Kazi nyingi serikalini ni mtu ana pandishwa cheo.

Kulinganisha Tanzania na Marekani kwenye hili ni makosa. Kwanza mifumo yetu tofauti na pili Marekani ina bureaucracy kubwa kuliko yakwetu. Kwa hiyo taja hapa hizo nafasi zilizo tangazwa wazi na Obama halafu tuangalia kama:
1)hizo kazi zipo available Tanzania
2)Tuna utaratibu gani wa kutoa hizo nafasi
3)Je jinsi ya kutoa hizo kazi zinaendana na mfumo wetu?
 
Back
Top Bottom