Rais mteule, Donald Trump amesema yuko mbioni kujiondoa NATO

Rais mteule, Donald Trump amesema yuko mbioni kujiondoa NATO

Wana economic organizations na unions nyingi btn US and EU kwanini asingebana huko anaenda kwenye military alliance ya muhimu kama NATO?
Kweli wanazo economic organizations nyingi ila DT ameona awakabe kwenye Nato sababu zaidi ya nusu kuanzia bajeti,nguzu kazi na vifaa vinavyotumiwa na Nato anaechangia ni Marekani.
Kwaiyo haiwezekani USA inatumia zaidi kodi za raia wake kuwalinda halafu wanachama wa Nato wanunue bidhaa zaidi kwa China Kuliko Marekani.
 
Wakuu,

Hivi huyu baba Trump ana washauri kweli?

Hivi karibuni akiwa anaongea kwenye kipindi cha Meet The Press, amesema kuwa kwa sababu nchi wanachama wa NATO hawanunui bidhaa kutoka Marekani basi anafikiria kujitoa kwenye umoja huo wa kijeshi.

Ikumbukwe kuwa Marekani ndio "contributor" mkubwa kwenye NATO kwa hiyo kujitoa kwa nchi hiyo kutaathiri moja kwa moja organization hiyo.

View attachment 3173568

Yaani wakati China, Urusi na India wanaungana pamoja na kuwa kitu kimoja kwenye BRICS, Trump anaamua kuitoa Marekani kwenye NATO.

Nani anamshauri huyu mzee?


View attachment 3173567
Umekiangalia hicho chanzo chako cha habari?
 
Hutaki Rais aende kutafuta fursa za kiuchumi nje?

Au kutafuta mikopo na misaada ku-fund ARVs mnazokunywa na mashimo ya choo ya watoto wenu ndio upumbavu?
ARV ni project yenye anjenda chafu ya kupunguza lifetime ya mwafrica ndiyo maana zinatolewa bure...usije kuniambia vipi zinapunguza lifetime badala ya kuongeza ndipo nitakapo kuita mpumbavu usiye na akili ....ARV ni.pasi ndefu ya kupunguza kizazi cha mtu mweusi na wengine walio kusudiwa..
 
Hata yule Mhindi aliyempendekeza kuwa mkuu wa FBI ni loyalist asiye na sifa.

Hawa watu wanatakiwa wakataliwe na bunge, na baadae wamuimpeach trump.

Nilisikia kichefuchefu kwny maneno ya Trump baada ya Assad kuondolewa, eti, ''...he may go on with the war forever, I KNOW VLADIMIL..''

Jinsi anavyoita hiyo first name utafikiri anasifia 'mumewe'.

Hadi Trump aondoke, Urusi itakuwa imenufaika sana na Marekani imepoteza nguvu ya ushawishi duniani.

Mnaongea kana kwamba nyie ni wataalamu Sana kumbe chuki tu. Mtu katandika habari ya kuokoteza na nyie mmejaa.
 
Trump ataendelea kuwaumiza na chuki Zenu. Mtu anafanya mambo kwa faida ya nchi yake.
 
Ukumsoma Trump alipoanzia huko kwenye Real Estate ya New York City, kuna trick yake moja alipenda kuitymia sana.

Alikuwa akitaka kuingia kwenye deal, anajifanya kama halitaki. Mnakaa naye kwenye chumba, anakataa, anaondoka. Mkimnembeleza anapata nafasi ya kupunguza bei ya kulipa yeye.

Sasa katoka kwenye Real Estate, kaja kwenye geopolitics, bado anatumia trick hiyo hiyo.

Anasema akisema anataka kujiondoa NATO, nia yake si kujiondoa NATO. Nia yake inakuwa kitu kingine kama kupata faida za kibiashara, au kufanya nchi nyingine zilipe zaidi NATO.

Ila anatumia turufu ya kujitoa NATO kama sehemu ya negotiation tactic.

Siku moja wakimwambia jitoe tuone, ataaibika sana. Kwa sababu Marekani inahitaji kuwa na bases Ulaya, Germany, kuwa na meli Uturuki, etc.
 
ni mpango mzuri na angalizo makini la kimkakati wakutanua wigo wa masoko ya kibishara kwa bidhaa kutoka marikani.

Bilashaka yoyote, NATO itasalimu amri, itachukua hiyo tahadhari kwa umuhimu mkubwa na kuinufaisha marekani kibiashara. NATO haitakubali kudhoofika, itafungua njia na kwakweli watanunua bidhaa za marekani 🐒
Hwezi kulazimisha kununua bidhaa ghali ili hali kuna mbadalq wa bidhaa za bei rahisi
 
Hwezi kulazimisha kununua bidhaa ghali ili hali kuna mbadalq wa bidhaa za bei rahisi
Marekani ikijitoa NATO, ndiyo mwanzo wa mwisho wa wa nguvu na uimara wa jumuiya hiyo ya kijeshi gentleman :NoGodNo:
 
Mnaongea kana kwamba nyie ni wataalamu Sana kumbe chuki tu. Mtu katandika habari ya kuokoteza na nyie mmejaa.
Sisi hatuongea kutoa vichwani mwetu, tunarefer wataalamu.

Trump ni mtu mwenye mahaba binafsi na Putin, hafai kuongoza Marekani.

Yuko hapo kumfurahisha Putin, ni lazima senate itajaribu kumuimpeach, anahatarisha usalama wa taifa la Marekani.
 
Back
Top Bottom