Rais Museveni akamata mashoga 490

Rais Museveni akamata mashoga 490

Viongozi wa Africa wanatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi ni kama hawayaoni. Hii ni kutafuta cheap popularity and people fall for it.

I don't condone ushoga ila same energy itumike kwenye mambo ya msingi as well.
Wameshagundua wananchi ni MAZUZU HAYAELEWI KITU.

Ndio maana hicho kibabu museven kimerukia mashoga ili kupata ujiko wa kisiasa kwa bei rahisi sana.

Umasikini, udikteta na wizi wa mali za waganda sio ISSUE.

Wako bize kupambana na VINYESI.
 
Yaani unautetea utu wa shoga?
Hivi mkuu zinakutosha kweli kichwani[emoji848]
Ulitaka asemeje??

Nyie wazee wa MIHEMKO huwa mnavamia habari za ushoga bila kuwa na akili timamu.

Na pili na cha sekondari, huwa nawaona mashoga wengi huko mitaani mbona hatusikii mkiwafanya lolote!?
 
Makelele mtandaoni tu lakini mtaanii hakuna lolote.
Kuna shoga nilikua nafanya nae kazi night shift akawa anatoroka job anaenda kupigwa miti na anasema kabisa bwana wangu kaniita tukanywe bia leo naenda kumpanulia km yote, kingine nilikua nikimwambia kuhusu issue za kuoa jamaa anasema nani umemuona ni mwanaume hapa nani kakwambia anataka kuoa? anasema yeye anataka kuolewa sio kuoa, nikaishiwa pumzi hawa jamaa kuishi nao inataka moyo sana aisee
 
Kwaiyo tukuachie starehe yako
Mashoga wana hatari jamaa wana umoja wao na kuna site ya Mashoga na wasagaji ipo bongo hio hawakunipa jina Ila ipo wananiambia umo ukiingia unaona shoga au msagaji aliekaribu na area yako km ilivyo Tinder, Hi 5 na Badoo ukiondoa Waplog, ukiingia unachagua aliekaribu yako mnachat unamuelekeza location anakuja kutinduliwa Malinda, jamaa walikua wananisimulia vingi vingine nikaona hawa WASHENZI wanataka kuniingiza kwenye ufirauni wao, wananiambia kila mwisho wa mwezi wanaandaa party na kwenye hio party kinachofanyika ni ufirauni mwanzo mwisho ukiongea nao ni kinyaa tupu omba sana MUNGU mwanao asiwe shoga
 
Kuna shoga nilikua nafanya nae kazi night shift akawa anatoroka job anaenda kupigwa miti na anasema kabisa bwana wangu kaniita tukanywe bia leo naenda kumpanulia km yote, kingine nilikua nikimwambia kuhusu issue za kuoa jamaa anasema nani umemuona ni mwanaume hapa nani kakwambia anataka kuoa? anasema yeye anataka kuolewa sio kuoa, nikaishiwa pumzi hawa jamaa kuishi nao inataka moyo sana aisee

Why was he so comfortable opening up like that to you? Anakuona wewe mwenzake, jitafakari.
 
Nmeanza kumtilia Sana mashaka
unanitilia mashaka bure, kwanza hao watu sijawahi kuwaona na siwajui wakoje. Mimi nimejikita kutetea utu na haki zao za kuishi kama binadamu wengine. Usinihusishe na ushetani wao
 
Msiishinikize serikali iige abrakadabra za museveni. Kuna mambo mengi ya msingi serikali inatakiwa ifanye. Ushoga waachiwe wanadini huko makanisani na misikitini, kuna pia wasioenda huko mila zao zishughulike kuwaonya watu wao. Ushoga upo kitambo tu hatukuona upigiwe kelele kama sasa. Maji yamezidi unga ndio sasa tunaona kila aina ya unafiki juu ushoga unaongelewa. Kwani kulikuwa hakuna makatazo ya ulawiti/ufiraji kwenye biblia? Mkaishia kuhubiri utoaji na baraka huku dhambi hiyo ikifumbiwa macho bila kuhubiriwa makatazo yake. Kila mtu sasa anakurupuka tu kuongelea mapenzi ya jinsia moja bila aibu, tena kwa watoto wadogo kwa minajili ya kuonya kumbe ndio kwanza anakoleza moto, watoto wanaenda kujaribu hicho kinachosemwasemwa sana. Jamii imechanganyikiwa na imehamaki haijui ianzie wapi kuzima ushoga.
Yani umeumia kweli mzee nenda ukapakuliwe
 
Yaani Museven pamoja na madhambi yake mengi ya toka ujanani amejua namna ya kuyafuta.
Malaika wale waliomuondoa Loti kule Sodoma ndio hao hao wanamnyakua Museven kutoka kwenye hii Sodoma ya Zama za mwisho.
Aliyoinena Bwana Yesu kusema 'siku za mwisho zitakuwa kama siku za sodoma na gomora.
Ole ni kwa wale wenye mamlaka ikiwa ni viongozi wa kisiasa au kidini wanaonyamazia uovu huu bila kukemea, kusahihisha na kuelekeza namna ya kustawisha utulivu wa maumbile kiasili (harmony)
 
Why was he so comfortable opening up like that to you? Anakuona wewe mwenzake, jitafakari.
Hapana sio hivyo mkuu, ni katika story za hapa na pale ndio alikua anaingizia hizo story za ajabu ajabu ambazo mimi kuna wakati nilikuà sizipendi na nilikua sitaki kujua zaidi maana kadri unavyotaka kujua ndio wanavyokuchota mwishowe na wewe unaingia kwenye mkumbo, ombea wanao kila kukicha hujui wanakutana na nani na wanafanya nini
 
Back
Top Bottom