Malkia Elizabeth alikuwa Mwafrica?Putin yuko africa?
Kagame naye amewaingiza vijana wake watatu jeshini.Exactly.....nchi itatumbukia kwenye machafuko. It is a matter of time
Mswahili hana Ujanja huo, alimuandaa Membe, Lowassa na kundi Lake wakamzidi Ujanja kwa kumchagulia Msukuma aliyekuwa kiboko chake.Riziwani vipi
Will be possible also in Rwanda, how about Tanzania?Banana Republic
Hapana,Inatagemea tu nchi na nchi. Kuna nchi unaweza kuteua hata ukoo wako mzima madarakani ukakuzunguka na mkarithishana hayo madaraka, kuna nchi mifumo yake haitakuwezesha kufanya hivyo.Mi najiuliza hiv ukishakuwa rais ndugu zako na wanao wanakosa sifa za kuwa viongoz?
Tanzania ya sasa sio rahisi tena kwa uzauza la aina hii.Will be possible also in Rwanda, how about Tanzania?
M7 ajitangaze tu kuwa mfalme wa Uganda halafu baada yake huyo General Muhoozi arithi kitiKuna tetesi nchini Uganda kuwa Rais anamuandaa mwanaye kuwa Rais.
Sio lazima mkuu wa majeshi apindue nchi. Wanajeshi wadogo wanaweza kujipanga kwa siri na kuipindua nchi na hata mkuu wa majeshi naye akapinduliwa.Ukiona hivyo keshanusa kupinduliwa kaona bora apinduliwe na Mwanaye
Ni kweli hata mimi nililiona hilo nilipokuwa pale KampalaPale Uganda hakuna wa kumsema Museveni, amewashikilia kote kote, yaani kuna kipindi niliishi pale hata kumtaja jina hatajwi hovyo, hata kwenye ulevi, ukilewa humtaji jina utakavyo. Nilijaribu kujadili nao siasa za kwao, aisei walikua wanaongea kwa uwoga uwoga....ikabidi na mimi niufyate.
Bado mama Samia tu amteue mwanaye ili EAC uwe ukanda wa kifalmeYajayo yanafurahisha nchini Uganda.
Uteuzi wa Kainerubaga Muhoozi umetagazwa leo usiku wa manane. Aliyekuwa mkuu wa majeshi ameteuliwa kuwa waziri wa nchi.
Kuna tetesi nchini Uganda kuwa Rais anamuandaa mwanaye kuwa Rais.
Kabla ya hapo General Muhoozi alikuwa mkuu wa kikosi maalum cha ulinzi wa Rais na Special security force for installations.
Source: BBC Swahili.
Unaionaje nguvu ya mkwere?Tanzania ya sasa sio rahisi tena kwa uzauza la aina hii.
Uingereza itoe kwenye huo utopolo, kajifunze kitu kinaitwa Constitutional Monarchy. Uingereza ni mojawapo ya demokrasia imara zaidi duniani.Malkia Elizabeth alikuwa Mwafrica?
Rais wa china nae mwafrica maana chama chake wanazidi kumuongezea term
Ni kama RwandaPale Uganda hakuna wa kumsema Museveni, amewashikilia kote kote, yaani kuna kipindi niliishi pale hata kumtaja jina hatajwi hovyo, hata kwenye ulevi, ukilewa humtaji jina utakavyo. Nilijaribu kujadili nao siasa za kwao, aisei walikua wanaongea kwa uwoga uwoga....ikabidi na mimi niufyate.