Museveni amejifunza kitu kutoka Tanzania baada ya Kifo cha Magufuli.
Kiuhalisia hakukuwa na Humuimu wa kumwachia Rais Samia madaraka hata kama alikuwa ni Makamu, kulikuwa kuna nafasi kubwa sana ya viongozi wengine kuchukua madaraka kama wangekuwa na ushawishi Jeshini.
Tanzania tuna mfumo mzuri sana na imara wa kupokezana madaraka kutoka CCM kwenda CCM, sio rahisi mtu mmoja kubaki na nguvu kubwa baada ya kumaliza Urais wake.
Tanzania tunachokosa ni viongozi wazuri kupokezana madaraka, yaani Baada ya Nyerere alipaswa aje Mkapa au Mtu kama Magufuli baada yake aje Makonda/Bashiru/Majaliwa/Mpina/Lissu kama angekuwa na malezi ya Nyerere/Mkapa au Magufuli tungekuwa sawa na China au Mataifa ya Ulaya kwa Maendeleo.
Bahati mbaya tuna sequence ya ovyo sana kwenye kuachiana madaraka, imagine Baada ya Mkapa tukapata Kikwete now tuna Samia, just imagine.
Museveni ameona hili na anataka kuwe na consistency ya Itikadi