Rais Museveni amteua mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa CDF

Mke wake ndo waziri wa elimu na michezo, pole sana waganda tunajua mnaumia ila mpaka mumwage damu kujikomboa na mkoloni wa Kitusi.
 
Sio tetesi mbona kijana kaishawrka wazi akitoka baba yake yeye ndio anspokea kijiti
 
Watutsi ni wabinfsi sana,ameifanya Uganda kuwa Falme badala ya Jamhuri.
 
Power transfer.....
 
Yuko sahih kbsaa mzee museveni
 
Sema kwasababu kiafrica ukiwa kiongoz unageuka mfereji wa familia lakin ukweli ndani ya familia wakati mwingine kuna watu ni Smart sana basi tu kiafrica Africa inaonekana sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…