Rais Museveni amteua mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa CDF

..Mu7 anataka kuigeuza Uganda kuwa nchi ya Kifalme.

..Nini kitatoke iwapo Waganda wataamua kwamba hawataki tena kuongozwa Kifalme?

..Machafuko yakitokea Uganda athari zake zitasambaa mpaka kwetu Watanzania.
 
..Mu7 anataka kuigeuza Uganda kuwa nchi ya Kifalme.

..Nini kitatoke iwapo Waganda wataamua kwamba hawataki tena kuongozwa Kifalme?

..Machafuko yakitokea Uganda athari zake zitasambaa mpaka kwetu Watanzania.
Waganda wataamua wao wenyewe nani awaongoze .
 
Safi sana Mzee kaguta!
 
Hamna la ajabu hapa, sana sana nyani haoni kundule. Kwani Hussein Mwinyi nae hakuandaliwa kimya kimya?? Mbona kuna mtoto wa rais mstaafu mmoja na mamaake wote ni wabunge?? Na mtoto kapewa uwaziri akiandaliwa baadae aje awe rais?? Ngozi nyeusi ni ile ile, imejaa ubinafsi na uroho wa kila kitu.Muacheni Museveni , nyie ya kwenu yanawashinda mnashadadia ya wenzenu.
 
Je akilazimisha nini kitatokea!

..tawala za aina hiyo mwisho wake huwa sio mzuri.

..Gaddafi alifanya ujinga wa kutowezesha utaratibu wa kubadilishana madaraka na matokeo yake ni instability aliyoko Libya.

..Mfumo wa demokrasia, chaguzi huru, na utaratibu wa kubadilishana madaraka, unasaidia kwa kiwango kikubwa uwepo wa amani ktk nchi husika.
 
Mpumbavu
 
Muuhozi Kainerugaba is next president of Uganda 2026.
 
Vp ni kweli binti yake kawa governor wa benki kuu huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…