Rais Museveni anapambana vilivyo na harakati za magharibi kueneza ushoga: Viongozi wetu jifunzeni kitu!!

Tunataka habari za maendeleo, sio za ushoga. Ni upuuzi wa kiwango cha lami kwa mataifa maskini kama ya Africa kujikita kwenye ushoga. Hatuna luxury hiyo.
Sijui kwanini pro US mnakatisha tamaa Sana viongozi wanaojitahidi kudhibiti ushoga! Mkiitwa mashoga mnachukia, Sasa Nini tafsiri ya ulichokoment?
 
Tunataka habari za maendeleo, sio za ushoga. Ni upuuzi wa kiwango cha lami kwa mataifa maskini kama ya Africa kujikita kwenye ushoga. Hatuna luxury hiyo.
Hicho kichaka makalio yanaoneka mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…