Rais wa uganda amekuwa akishiriki shughuli za kilimo na uzalishaji ktk maeneo mbali mbali vijijini nchini uganda bila kujali cheo chake au utukufu wake,hapo chini anatoka kuchota maji ya kwenda kumwagilia mimea
Huyu sio kiongozi wa kumsifia hata siku moja..
Ni mkandamizaji mkubwa Wa Demokrasia na kila siku kazi yake ni kukimbizana na wapinzani wake pale Uganda.
Huyu sio kiongozi wa kumsifia hata siku moja..
Ni mkandamizaji mkubwa Wa Demokrasia na kila siku kazi yake ni kukimbizana na wapinzani wake pale Uganda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.