Rais Museveni ashangaa kwamba inakuaje Mtu hajawahi shika Milioni kwa miaka zaidi ya 64 ya Uhuru?

Rais Museveni ashangaa kwamba inakuaje Mtu hajawahi shika Milioni kwa miaka zaidi ya 64 ya Uhuru?

Watu wanatekwa ni drama harafu hoyo aliosema hayo ni mseven sio JPM
Tunazungumzia Kauli za Kejeli kwa maskini usihamishe magoli.

Nyie Machadema hata mkitekwa sawa tuu mtajuana huko huko nyie si Wanasiasa?
 
Kasema ukweli japo inakera Kwa masikini.unatakiwa kupambana Kwa nguvu zako zote kuhakikisha unakuwa na angalau kufikia kipato Cha kati pamoja na changamoto zinazosababishwa na viongozi wetu kama samia
 
Kwa hiyo kama ni Kodi wewe ndio unaziratibi n kuzipanhia matumizi?

Umewahi ona nani anatoa Kodi Kwa hiari? Mbona huendi kujitolea kwenye miradi ?

Mwisho ukute hata Kodi yenyewe hutoi ila unabwatuka upuuzi hapa.
Na wewe kunguni grade 2 ni another hopeless dunderhead.

Maana kusoma kwa ufahamu hujui , hapo hatuongelei uratibu.

Huyo mama yenu karatibu nini wakati aliwaambia najua mnavimbiwa[ kuiba] sababu mnakula zaidi ya urefu wa kamba zenu basi msivimbiwe[msiibe sana] kuleni kidogo.

Very stupid old woman anawaruhusu majizi kujipimia kodi za wananchi na nyie vidampa mnalipwa buku 7 kuja kuelezea ujing tena.
 
Jibu maswali yangu hajuu kama huwezi mkasimuliane upuuzi na punguani wenzako
Angalia video hiyo mratibu wa kodi kama unavyosema anaruhusu watu wajipimie kwa urefu wa kamba zao [waibe kwa kiasi] ili wasivimbiwe

Huko ndio kuupiga mwingi si ndio?
 
Back
Top Bottom