Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
IMG-20230603-WA0031.jpg
 
Unaongelea msaada au mkopo?

Waarabu hawatoi msaada halafu uulipe, kwao msaada ni sadaka.


Waarabu siyo wazungu wanaokukaanga kwa mafuta yako.
Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
 
Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
Sijakuelewa.

Na wewe ni walewale?
 
Unajua wanaamini Christians wanaunga mkono huu ushetani kumbe sivyo, pia angeweza kumpongeza mzee mseven pasipo kuattach na kitu kingne. Ila she is doing gud kupinga ushoga
Tushawazoea hao
 
Back
Top Bottom