Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Sasa wapi wengi katika jamii, tuwaite mashetani? Ni binadamu wenzetu waliochagua starehe wapendayo. Kwa kuwa tulishindwa kuwazuia tangu mwanzo, tuwaache na starehe zao.
 
Ila ninaheshimu alichosema Papa wa kikatoliki kuhusu ushoga. Haki za binadamu zizingatiwe.
Mwanaume unaona raha kabisa 'kupigwa nao'?

Zamani ukimwita mtu 'Msenge' mtapigana hadi basi, ila leo wewe unaona fahari, siyo tu kuitwa Msenge bali kuwa Msenge halisi (kufi***). Nyie kizazi cha Sodoma na Gomora mlaaniwe.
 
Huyo mufti ahubirie pia Wapwani, ukanda wote huo umejaa ushoga sana na ndiko dini yake imetamalaki.
 
Huyo mufti ahubirie pia Wapwani, ukanda wote huo umejaa ushoga sana na ndiko dini yake imetamalaki.
Qur'an 3:103...Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103


104. Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza maovu. Na hao ndio walio fanikiwa. 104


105. Wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. Na hao ndio watakao kuwa na adhabu kubwa. 105
 
Ninamuunga mkono Museveni kwa [emoji817]% na ninasikitishwa na kiongozi wangu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, kuunga mkono huu ushenzi. Au hili jina 'Papa' ndo tatizo hadi anabehave vile?

Wapi kanisa limeunga mkono,nadhani wewe sio mkristo.
 
Back
Top Bottom