Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Unaongelea msaada au mkopo?

Waarabu hawatoi msaada halafu uulipe, kwao msaada ni sadaka.


Waarabu siyo wazungu wanaokukaanga kwa mafuta yako.

Binafsi namuunga mkono Museveni 100%
na walivyokua wanawauza watumwa ilikua ni aina gani ya transaction, na hapo walikua wanatukaanga kwa mafuta yetu au yao ?
 
Yule mfalme kabusi aliekufa alikuwa hana mke wala watoto!!alikuwa anakaza vijana wadogo wabichi waliokuwa wanatoka zenj..mamaaeee mbona hakukemea.
Yule mzee kila kitu alikuwa anafanyiwa na vishoga yaani ndo wahudum zake!!watoto wa kiume wakiarabu wameachia nywele hadi matakoni..mmoja alirudi kwao lamu huko baba na ndugu wameenda kumpokea wanashangaa mtoto ameshakuwa rojo vidole juu hata biskuti hawezi kuvunja!!!
 
na walivyokua wanawauza watumwa ilikua ni aina gani ya transaction, na hapo walikua wanatukaanga kwa mafuta yetu au yao ?
Muulize babu yako vipi yeye alibaki, hakuuzwa utumwani.

Nani alikudanganya utumwa umekwisha? Mimi naamini haujaisha, kwa ushahidi kabisa, limebadilika jina tu.

Mpaka leo hii utumwa upo, wa humu humu ndani ya nchi na wa nje ya nchi.

Tuambie huu kama si utumwa ni nini👇🏾

 
Yule mfalme kabusi aliekufa alikuwa hana mke wala watoto!!alikuwa anakaza vijana wadogo wabichi waliokuwa wanatoka zenj..mamaaeee mbona hakukemea.
Yule mzee kila kitu alikuwa anafanyiwa na vishoga yaani ndo wahudum zake!!watoto wa kiume wakiarabu wameachia nywele hadi matakoni..mmoja alirudi kwao lamu huko baba na ndugu wameenda kumpokea wanashangaa mtoto ameshakuwa rojo vidole juu hata biskuti hawezi kuvunja!!!
Umbea wako hautufanyi tusimuunge mkono Museveni.

Vipi, Museni kakushika pazuri? Maana kijana kuwa mbea kuna fikirisha.
 
Wazungu wanatumiaa ushoga Kama njia ya kupunguza idadi ya watu baada ya Kila njia wanayobuni Africa kufeli mfano uzazi wa mpango pamojaa na mavidonge na sindano zao kwa Africa wameshindwa watu wanazaa na wapo happy tu mapori yamejaa maisha simple watu hawana time ya kuja mjini Wala kuwaza shule.
Wametumia vita, kemikali kwenye vyakula,corona, ugaidi nk ili kupunguza idadi ya watu still wamefeli Kama watakavyofeli na hili la ushoga.
Sio kwamba kuwa mzungu means una akili kuliko nature.
Una kiwango gani Cha elimu
 
Wazungu wanatumiaa ushoga Kama njia ya kupunguza idadi ya watu baada ya Kila njia wanayobuni Africa kufeli mfano uzazi wa mpango pamojaa na mavidonge na sindano zao kwa Africa wameshindwa watu wanazaa na wapo happy tu mapori yamejaa maisha simple watu hawana time ya kuja mjini Wala kuwaza shule.
Wametumia vita, kemikali kwenye vyakula,corona, ugaidi nk ili kupunguza idadi ya watu still wamefeli Kama watakavyofeli na hili la ushoga.
Sio kwamba kuwa mzungu means una akili kuliko nature.
Mwarabu akiona utupu wa mwanamke anatapika, lakini Tigo ananyonya balaa, na kinyesi ni udi kwa Mwarabu.

Je wamefundishwa na wazungu? Kila uchizi mnasingizia wengine.
 
Hili neno haki za binadamu linatumiwa vibaya Sana na nchi za magharibi, huwezi unganisha huu ufirauni eti nao ujifishe kwenye kichaka Cha haki za binadamu.
 
Mwarabu akiona utupu wa mwanamke anatapika, lakini Tigo ananyonya balaa, na kinyesi ni udi kwa Mwarabu.

Je wamefundishwa na wazungu? Kila uchizi mnasingizia wengine.

Jisomee:
Guardian: news
Vatican
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher says

Harriet Sherwood Religion correspondent
@harrietsherwood
Tue 12 Feb 2019 11.47 EST

Some of the most senior clerics in the Roman Catholic church who have vociferously attacked homosexuality are themselves gay, according to a book to be published next week.

Eighty per cent of priests working at the Vatican are gay, although not necessarily sexually active, it is claimed in the book, In the Closet of the Vatican.

The 570-page book, which the French journalist and author Frédéric Martel spent four years researching, is a “startling account of corruption and hypocrisy at the heart of the Vatican”, according to its British publisher Bloomsbury.

It is being published in eight languages across 20 countries next Wednesday, coinciding with the opening day of a conference at the Vatican on sexual abuse, to which bishops from all over the world have been summoned.

Martel, a former adviser to the French government, conducted 1,500 interviews while researching the book, including with 41 cardinals, 52 bishops and monsignors, 45 papal ambassadors or diplomatic officials, 11 Swiss guards and more than 200 priests and seminarians, according to a report on the Catholic website the Tablet.

Many spoke of an unspoken code of the “closet”, with one rule of thumb being that the more homophobic a cleric was, the more likely he was to be gay.

Martel alleges that one Colombian cardinal, the late Alfonso López Trujillo, who held a senior Vatican position, was an arch-defender of church teaching on homosexuality and contraception while using male prostitutes, the Tablet said.

The author found that some gay priests accepted their sexuality and a few maintained discreet relationships, but others sought high-risk casual encounters. Some were in denial about their sexuality.

Although the book does not conflate homosexuality with the sexual abuse of children, Martel describes a secretive culture among priests that creates conditions in which abuse is not confronted, say people familiar with the book’s contents.

According to Bloomsbury’s promotional material, Inside the Closet “reveals secrets” about celibacy, misogyny and plots against Pope Francis. It uncovers “a clerical culture of secrecy which starts in junior seminaries and continues right up to the Vatican itself”.

Francis has riled his conservative critics in the Vatican over his apparently softer tone towards gay people. A few months into his papacy, he told reporters who asked about a “gay lobby” at the Vatican: “If a person is gay and seeks God and has good will, who am I to judge?”

Last year Juan Carlos Cruz, a Chilean survivor of sexual abuse, said Francis told him in a private meeting: “Juan Carlos, that you are gay does not matter. God made you like this and loves you like this and I don’t care. The pope loves you like this. You have to be happy with who you are.”

But a Polish priest who was sacked from his Vatican job and defrocked after announcing he was gay has accused the church of making the lives of millions of gay Catholics “a hell”.

In a letter to Francis in 2015, Krzysztof Charamsa criticised what he called the Vatican’s hypocrisy in banning gay priests and said the clergy was “full of homosexuals”.

In December, Francis was quoted in a book about vocations as saying homosexuality was a “fashion” to which the clergy was susceptible.

“The issue of homosexuality is a very serious issue that must be adequately discerned from the beginning with the candidates [for the priesthood]. In our societies it even seems that homosexuality is fashionable and that mentality, in some way, also influences the life of the church,” he said.

The timing of Inside the Closet’s publication, at the start of a milestone summit on sexual abuse, will raise concerns that some people may seek to conflate the two issues.

But the book’s allegations are likely to be pored over by senior bishops flying into Rome from more than 100 countries for the four-day summit.

Chanzo: Four in five Vatican priests are gay, book claims
 
Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
inaonekana huwa linasikia sikio lako la upande mmoja tu, kama hukusikia hata Papa akiomba msamaha?
 
Binafsi namuunga mkono Museveni 100 %

Mashoga utayaona tu hapa yanakuja kumpinga Museveni, hayajifichi.
Kabisa dada museveni ameweza wengine wanasubiria msaada tu..istoshe hilo bomba la mafuta wakileta vikwazo mchina atapewa hiyo kazi pamoja na kuchimba mafuta
 
Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
Inawezekana ikawa kweli sababu pwani ndiko kuna watu wengi makabila yote ya tz yako dar sitarehe zote ziko dar wageni wengi walipo kuja tz walifikia pwani hata uganda ushoga uko Kampala na masaka na jinja kwenye mikusanyiko ya watu pia kwenye sitarehe nyingi
 
Huyo mufti mwenyewe salama? Yaani hajasikia habari zooote za maendeleo Africa, uzuri wa Zanzibar, vita vya Sudan nk nk. Lakini habari za kufiranaa kapata haraka hivi? Huyu vipi? Nina wasiwasi na huyu babu.
Shoga kwa ushenzi wako unajoosha kidole juu hili tukujue kuwa hupo mshenzi wewe
 
Mse7 asishie kwenye ushoga tu hata madada poa watungiwe sheria sababu wanzidisha watoto mitaani na ukimwi
Aache kwanza kuiba uchaguzi na kuuawapinzani ndi tuone kama yulo serious na Ucha Mungu.
 
Tanzania tumeufyataaaa,hatutaki ushoga ila pesa zao tunazihitaji,siku si nyingi tutasikia kauli za wakubwa 'Mashoga wako salama Tanzania" pesa pesa pesa.
 
Back
Top Bottom