Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Tumuache Mungu ahukumu, huenda Mungu anachukizwa na uzinifu kuliko ushoga. Ushoga ni ugunduzi wa binadamu. Walipogundua tuliwaacha tu katika jumuiya, leo hii tunawapiga Vita, waende wapi? Ni binadamu kama sisi.
 
Museveni anampa sana wakati mgumu rais wa yuesi kumkatalia tusipandane wenyewe hadi Biden juzi kaanguka kisa Museveni
 
Qur'an 3:103...Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103


104. Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza maovu. Na hao ndio walio fanikiwa. 104


105. Wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. Na hao ndio watakao kuwa na adhabu kubwa. 105

Haya mavitu unaandika hapa ndio mkawahubirie hayo mashoga yaliyojaa huko Pwani kwenye asilimia kubwa ni watu wa dini yenu.
Hebu ona mnavyofanya hadi kwa wanafunzi https://www.jamiiforums.com/data/video/5216/5216350-a5d6e6850d1b0e7854e3ee2d342f61fa.mp4
 
Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
Sababu ya asili ya maadili Yao huko zamani wanawake walitunza bikira zao hadi siku ya ndoa so Kama huna bikira siku ya harusi adhabu yako ni kukatwa kichwa mke na mme.
Ili kulinda ubikira wanawake walikubali kuingiliwa kinyume kuepukaa kukatwa kichwa,ndo chanzo Cha ushoga uarabuni,then ushenzi huu ukaenea Dunia nzima hadi mzungu akanogewa alichelewa wapi.
 
mseven rais anayekitambua na kujiamini . hataki unafki na wazungu wa magharibi. Safi Sana. Huku kwetu wanajifichaficha hawataki kuwa straight.
 
Huyo mufti mwenyewe salama? Yaani hajasikia habari zooote za maendeleo Africa, uzuri wa Zanzibar, vita vya Sudan nk nk. Lakini habari za kufiranaa kapata haraka hivi? Huyu vipi? Nina wasiwasi na huyu babu.
Ndo anayo yajua yeye hayo tyuuh.
 
Wazungu wanatumiaa ushoga Kama njia ya kupunguza idadi ya watu baada ya Kila njia wanayobuni Africa kufeli mfano uzazi wa mpango pamojaa na mavidonge na sindano zao kwa Africa wameshindwa watu wanazaa na wapo happy tu mapori yamejaa maisha simple watu hawana time ya kuja mjini Wala kuwaza shule.
Wametumia vita, kemikali kwenye vyakula,corona, ugaidi nk ili kupunguza idadi ya watu still wamefeli Kama watakavyofeli na hili la ushoga.
Sio kwamba kuwa mzungu means una akili kuliko nature.
 
Wanatumiaa misaada Kama tools ajenda ya kupush ajenda zao za kishetani mfano ushoga
 
Museveni anampa sana wakati mgumu rais wa yuesi kumkatalia tusipandane wenyewe hadi Biden juzi kaanguka kisa Museveni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Mu7 ana lipi jipya kumchanganyaa Biden?? Mnaotaa nyie.
 
Wazungu wanatumiaa ushoga Kama njia ya kupunguza idadi ya watu baada ya Kila njia wanayobuni Africa kufeli mfano uzazi wa mpango pamojaa na mavidonge na sindano zao kwa Africa wameshindwa watu wanazaa na wapo happy tu mapori yamejaa maisha simple watu hawana time ya kuja mjini Wala kuwaza shule.
Wametumia vita, kemikali kwenye vyakula,corona, ugaidi nk ili kupunguza idadi ya watu still wamefeli Kama watakavyofeli na hili la ushoga.
Sio kwamba kuwa mzungu means una akili kuliko nature.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajionaa umetoa point mwenyeweee?? Unachekeshaa kweliii.
 
Wao ndio vinara wa kuvunja haki za binadam huwezi walazamisha watu wafate utamaduni wako kwa lazima hii ni kinyume kabisa na haki za binadam
 
Hapo vijukuu vya Mudi wanashindwa kumsifu Mu7 wanajaribu kumuuattach na Mufti
Yaani ni akili ya kawaida,lakini eti Mtu anasubiri hadi aambiwe na Mufti ndiyo atende mema ya kumpendeza Mungu! Sisi wa Africa sijui nani katuloga!!??
 
Back
Top Bottom