Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Nafanya mishe kiwanja x cha mwewe sasa wale jamaa wakija waarabu mnapanga mstari mnakatiwa hela nzuri tu ya kula 😀 unaona sheikh maamae kapiga kilemba ile yenyewe anakuja na mpunga mlipo, akianza kugawa unaskia anasema bismillah😂😂
Bila shaka unafanya kazi KIA. 😊
 
Ushoga HAPANA!, leo umekuja vizuri ila kuna ambao wapo uku na ID zao zinajulikana kama vipi anzisha kampeni tuyatoe uku yananuka nya
Naunga mkono hoja japo watakupinga ila ukweli lazima usemwe watolewe e
 
Ninamuunga mkono Museveni kwa 💯% na ninasikitishwa na kiongozi wangu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, kuunga mkono huu ushenzi. Au hili jina 'Papa' ndo tatizo hadi anabehave vile?
Hakuna utiifu katika kumuasi mwenyezi Mungu.

Sisi kwenye uislamu jambo hata kama liwe limesemwa na baba yako, mama yako ,kiongozi wako wako dini unayemuheshimu , kiongozi wako wa kitaifa.

Hakuna kumtii yeyote kati yao kama jambo hilo ni la kumuasi mwenyezi Mungu
 
Waacheni wafe njaa,huezi kushindana na wazungu kamwe na haitotokea,kaiangalie zimbabwe ya leo,hela yao tu hawana,huezi kushindana na boss,lakini pia mimi sidhani kama mtu siyo msenge unaweza kumuambia awe msenge,mtu akifanya tayari ni mmsenge huyo
 
Mimi tangu nazaliwa hadi nakuwa mzee nimekuwa nikisikia Ulawiti na ushoga hufanywa na Waarabu na watu wa Pwani kama Zanzibar na Mombasa
Kule Marekani?
Wale mapapa wenu?
Huko Ulaya?
Israel?

Wewe ulikalilishwa cheap propaganda
 
Unajua wanaamini Christians wanaunga mkono huu ushetani kumbe sivyo, pia angeweza kumpongeza mzee mseven pasipo kuattach na kitu kingne. Ila she is doing gud kupinga ushoga
Wameathirika sana na utumwa kwao mwarabu ni msafi ila walioenda huko hasa mabinti wameaona shuruba ya hao jamaa ni jamii katili sana.
 
Hakuna utiifu katika kumuasi mwenyezi Mungu.

Sisi kwenye uislamu jambo hata kama liwe limesemwa na baba yako, mama yako ,kiongozi wako wako dini unayemuheshimu , kiongozi wako wa kitaifa.

Hakuna kumtii yeyote kati yao kama jambo hilo ni la kumuasi mwenyezi Mungu
Mbona sheikh wenu alimfananisha jiwe na mitume na mkaufyata?unafiki ni sehemu ya maisha yenu.Yule mzanzibar shoga ni swala tano!
 
Huyo mufti ahubirie pia Wapwani, ukanda wote huo umejaa ushoga sana na ndiko dini yake imetamalaki.

Kisa ni muislam mnaanza kupinga na kutetea vitu vya ajabu ,we mkenya una matatizo gani na uislam ,wakristo wenzio wanakushangaa kila cku na mada zako za kichoko choko
 
Kisa ni muislam mnaanza kupinga na kutetea vitu vya ajabu ,we mkenya una matatizo gani na uislam ,wakristo wenzio wanakushangaa kila cku na mada zako za kichoko choko

Wapi nimetetea, mimi napinga sana ushoga ila nimesema kabla hamjahangaika na Uganda muanze na Pwani ambayo ushoga umekua kama chakula kwa wakaazi na ukizingatia wengi ni waislamu.
Uganda isiwape tabu, wako vizuri sana hata fununu tu za kutajwa kwenye ushoga zinakuweka kwenye matatizo.
 
Back
Top Bottom