Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi German iliyokuwa na Chancellor Angela Merkel kwa miaka zaidi ya 17? Au vipi Israel ya Golda Meir miaka ya mwisho ya 1960s.Utafiti Marekani ya 73 kati ya 143 zenye uwezekano wa kuwa na Rais mwanamke.
Hii ilijidhihirisha pale tuliona Trump mwenye sera Tata akinyakua kiti dhidi ya Hilary Clinton (Mwanamke).
Ni vema tunapoamua kujifunza Kwa wakubwa Hawa basi tujifunze Kila kitu.
Vitabu vya torati navyo haviko kimya vinasema wazi. Ni vema tufuate torati sawasawa
Ni wakati wa Kufuata torati. Tanzania ya Torati ni Sasa.
Tuige Marekani kama tulivyoiga kwenye Umeme.
Niwatakie Torati njema wakulungwa wenzangu.
Kosa ni la waliohusika kuweka mgombea ambaye katiba inakataza. Katiba inataka mgombea awe na afya nzuri.Kosa si lake .kosa ni aliyefanya mizaha ya kukubari kufa kijinga!!