Rais Mwanamke? Marekani sio wajinga

Tukipiga makelele ya kuhitaji katiba mpya mnatuona sisi ni walafi wa madaraka
 
Vipi German iliyokuwa na Chancellor Angela Merkel kwa miaka zaidi ya 17? Au vipi Israel ya Golda Meir miaka ya mwisho ya 1960s.

Je umewahi kufuatilia mafanikio ya hao viongozi 2 ukalinganisha na wanaume ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…