Zanzibar 2020 Rais Mwinyi amuapisha Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar. Maalim Seif asema haukuwa uamuzi rahisi

Zanzibar 2020 Rais Mwinyi amuapisha Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar. Maalim Seif asema haukuwa uamuzi rahisi

Mpaka leo najiuliza hivi wale ambao wanashabikia Upinzani na Wapinzani wenyewe ndiyo Wanafiki kama hawa Vichwani mwao zinawatosha kweli?
 
1) 2020 Hussein Ally Hassan Mwinyi kamuapisha Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wake namba moja

2) 1984 Ally Hassan Mwinyi alimuapisha SEIF SHARIF HAMAD kuwa Waziri Kiongozi wa Znz

Historia kubwa sana kaweka

'Son of a Lord will be a Lord…'

Mzee Mbishi hatare
Umetunza kumbukumbu vema sana.. Ni hazina tosha kwa kizazi kipya...
 
Uislam ni uungwana
Waislamu waungwana sana niliona kwa Alli, Shein, Jakaya na SASA Hussein maadili ya dini Yao yanawafanya wasiwe wanafiki WA kupitiliza kama Marais Wakiristo. Naamini Hussein atakuwa Rais muungwana na kuleta mabadiliko.
 
aliyeonewa anaomba msamaha hii maana yake wewe na aliyeonea lenu ni moja alafu wewe unayeomba hatari ni hatari zaidi
 
Aisee.. Hotuba ya SEIF imenitoa chozi. Nashauri Magu awaarike Seif na Mwinyi pale magogoni wakaonge glas kidogo.
 
Hata sijui cha kusema, wameshafanya maamuzi naamini safari hii watashughulikia mapungufu yote yaliyojitokeza katika chaguzi zilizopita na watasimamia katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, bila hivyo 2025 tutarudi tena kwenye maridhiano na ndio utakua mfumo halisi wa sisa ya Zanzibar

Sioni namna ambavyo wafiwa na walioteeswa wakati wa uchaguzi wakikubaliana na hili, bado kuna kazi kubwa ya kuwaangalia wahanga hawa na kuwafariji kwa namna ya tofauti sana
 
Raisi anamuapisha makamu wa Raisi!
Katiba zingine utafikili mazingaombwe.
 
Huko huwezi kukosa uteuzi maana yeye mwenyewe alipata uteuzi Dodoma kwa kuunga mkono juhudi akiwa mkazi wa Mkuranga toka Mwitongo Tabora.
Wazanzibari ni kama watu wa Tanzania bara - yaani, wametokea sehemu nyingi tofauti: mfano, kuna waliotoka uajemi, bara Hindi, bara Arabu, Mombasa na bara Kenya, mpaka Uganda, Nchumbiji (Pemba na Cabo Delgado), bara Tanganyika (Unyanyembe na manyema (Kigoma mpaka Congo), Moshi (E.... ton Kisasi) mpaka na Mbeya (Mh Mwak..).

Na hawa wakazi wa pwani ya Tanzania bara na Zanzibar ni walewale - Kisiju, Mafia, Mkulanga to mention but a few.
Huwezi ukampata mZanzibari ambaye ni pure! All of them are contaminated! Ila kwa wasio na ufahamu mpana, watatumia hizi tofauti kuhalalisha ubaguzi na kuchonganisha watu.
 
Anaapishwa na aliyemteua. Waziri Mkuu aliteuliwa na Rais wa JMT, na Maalim Seif pia kateuliwa na Rais wa Zanzibar. Shika hilo na ni kikatiba!
Kwa maoni yangu nadhani hapo kuna mkanganyiko,ili kuipa hadhi inayostahili hiyo nafasi ningependekeza asiapishwe na Rais
 
Lazima ibadilishwe katiba na kutamka unavyosema. Kwa sasa wanaapishwa kulingana na matakwa ya kikatiba yaliyopo
Kwa maoni yangu nadhani hapo kuna mkanganyiko,ili kuipa hadhi inayostahili hiyo nafasi ningependekeza asiapishwe na Rais
 
Hiyo ndio tofauti ya Maalim as a tactician na Mbowe tia maji tia maji.

Kwenye mitandaoni Lissu na wasaidizi ata wakiimba mwaka mzima Amsterdam ataishitaki Tanzania ICC na kufanya iwekewe vikwazo.

Maalim Seif na wanasheria wa ACT wanajua in practice kesi za ICC zinafunguliwa na mahakama yenyewe sio wakili wa nje na kupeleka washitakiwa serikali ya nchi husika lazima iridhie and so far hakuna nchi iliyopeleka viongozi waliopo madarakani if anything ICC ikijaribu hizo nchi zinajitoa ushiriki wao; in other words ICC ni toothless dog.

ACT wanatambua pia midahalo anayofanya Lissu na taasisi nyingi ni pressure groups tu nyingine ni ndogo sana au wanasiasa wanaojulikana ata huko kwao wana maslahi binafsi na maeneo wanayoyaongelea if not lobbying on behalf of other corporates.

Makundi yote hayana uwezo wa ku influence policy approach za nchi huko kwao, kilichobaki ni siasa za mitandaoni wafuasi wa Lissu kutishia watu wazima nyau kwa mambo ambayo wanaweza justify wao wenyewe.

ACT wamefanya calculated risk to remain relevant bora waonyeshe wana watu wenye sifa ya kuongoza. Kama walivyoiweka wenyewe not an ideal situation but better than nothing katika harakati zao.

Mtu mwenye busara akae chini na Mbowe ampe ukweli Lissu is dragging CDM down the pan; mbinu zake azitozaa matunda leo wala kesho, he is just entertaining his mental issues.

It’s OK kama ataamua kuendelea nazo kama mwanaharakati ila kuchukua agenda zake as a political party main strategic approach, basi CDM anakipunguzia support with time Lissu wasn’t born to lead people but to stir trouble huko ndio nguvu za Lissu zilipo.
 
Back
Top Bottom