Rais Mwinyi anavunja katiba ya Tanzania?

Rais Mwinyi anavunja katiba ya Tanzania?

Hizo ni siasa tu, anawapa wapiga kura kile wanataka.

Mimi kinachonisikitisha ni namna watanzania wanavyodanganyika kirahisi kupitia dini, mabonanza ya michezo, matamasha ya muziki n.k.

Majority ya watu wetu ni mbumbumbu.
Hiyo kukesha na kuamka misikitini wala sio siasa kwa Zanzibar wacha waitishe uchaguzi huru na wahaki kwa katiba hiyo hiyo mbovu kwa Zanzibar kama watapata hata robo ya kura zote.mimi naona angeendelea na safari zake za ibada lakini iwe binafsi sio iwe kiserikali akiongozana na mufti na mawaziri kwani wenzake waliopita walikuwa wakifanya ibada kama hizo lakini tulikuwa hatuyaoni haya hivyo ana yofanya ni showing off ambayo haikubaliwi katika uislam.
 
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
Kwa hiyo tutoe fedha za bara zikagharimikie mambo ya kidini Zanzibar?
 
Mwinyi anafanya siasa...
Waislam wa Zanzibar ambao ni asilimia 99 ya wapiga Kura wake wanam doubt uislam wake..
Anafanya siasa Tu...yeye mwenyewe ni westerner na mkewe mkristo...

Ila Kwa kuwa nyinyi mnapenda kulalamika hata kiongozi akivaa kibarakashia hamuwezi elewa..
Sio kweli.
Mke wake ni Muislamu lakini pia Hussein ana kaudini fulani.
Kuna mdau kaniambia kuna wakati akiwa wizara ya afya alimpitishia maombi fulani mdau mwenye jina la kiarabu akijua ni dini yake kumbe jamaa ni mgalatia,alisikitika.
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Mtu huyu tangu akiwa waziri, anazungushiwa ulinzi Ili wananchi wasione madhaifu yake.

Huyu aangaliwe Kwa ukaribu.

Kuwa mtoto wa kiongozi hakukufanyi ukawa kiongozi Bora.

Ingekuwa hivyo, Leo Ndugu Philip Mpango asingekuwa VP.
 
Kwa hiyo tutoe fedha za bara zikagharimikie mambo ya kidini Zanzibar?
Tanzania ni nchi moja ya JMT, hakuna fedha ya bara wala ya Zanzibar kuna fedha moja tuu ya Tanzania ambayo inatumika kugharimia jambo lolote ndani ya JMT.
P
 
Ni ujinga kuitenganisha Zanzibar na uislamu, Mwinyi Ni mwanasiasa, anacheza nabkarata zake vizuri tu ili akubaliwe.

Na kingine punguza chuki za udini, hazina umuhimu kwako hasa kwa afya ya akili na moyo wako.

Ndio Zanzibar Ni nchi ya kiislamu kiuhalisia Ila kisiasa haina dini, unasemaje hapo? Unaumia Nini?
Kabla ya kua rais nilimuona ana akili ila kumbe debe tupu
 
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
Hivi na uko Mashariki ya kati ulikotokea Uislamu,nako watawala wanashinda misikitini?
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Huyu si ndiye yule akodishaye visiwa kwa pesa ndogo aau siye?
 
Iku
Mwinyi anafanya siasa...
Waislam wa Zanzibar ambao ni asilimia 99 ya wapiga Kura wake wanam doubt uislam wake..
Anafanya siasa Tu...yeye mwenyewe ni westerner na mkewe mkristo...

Ila Kwa kuwa nyinyi mnapenda kulalamika hata kiongozi akivaa kibarakashia hamuwezi elewa..
Ikimbukwe tu hata kugombea kwake aliteuliwa hakuchaguliwa kama wanavyolalamika wanaccm wenzake huko visiwani.

Ana kazi kubwa sana kuhakikisha anakubalika
.

So watu wasishangae vile anavyofanya.
 
Wa majaliwa hata jina li wazi,Ila wa mwinyi sikumbuki Kama ana jina la kizungu...japo Quran imeruhusu muislam kuoa ahlul kitaab(wakiristo na wayahudi)

Vipi kuhusu binti wa kiislamu kuolewa na wakristo na mayahudu?kurwani inasemaje
 
Zanzibar ni nchibjapo hawana kiti umoja wa mataifa. Tuifufue TANGANYIKA yetu waendelee na Zanzibar yao.
 
Back
Top Bottom