Rais Mwinyi anavunja katiba ya Tanzania?

Rais Mwinyi anavunja katiba ya Tanzania?

Mikopo inayokopwa kwa ajili ya Tanzania si huwa inafika Zanzibar pia?
Pia tunapolipa madeni ya nchi hii si huwa tunalipa kwa ujumla ya bara na Zanzibar pia kutoka pesa za mfuko mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania??
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
 
Zanzibar 98% ni Waislamu, hivyo he has every right to do the needful kwa hao 98% ya Waislamu!. Sisi Wakristu baada ya kupewa Jumamosi na Jumapili kama siku za mapumziko, tutosheke!.
Tena kuna akina sisi tunaunga mkono hadi Mahakama ya Kadhi Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Go Mwinyi go!.
Go Samia go!.
Mungu ibariki Tanzania

P
Mayalla,

Kwani kuna mtu aliyeikataa mahakama ya kadhi? Shida ilikuwa hiyo mahakama itagharimiwa na nani? Waislamu hawajakatazwa kuwa na mahakama ya kadhi, kama wataigharimikia na kuifanya isiihusisne serkali na gharama zake. Lakini pia kuwe na uhuru wa Waislamu kuamuwa kama watapeleka kesi zao kwa kadhi au mahakama ya nchi. Kwa mfano wakatoliki huwa ni kama "divorce" haipo au ni ngumu kutolewa, lakini kanisa haliikatazi serkali kutoa "divorce" kisrerkali, lakini hiyo divorce haitabuliwa na kanisa, ila wahusika watajijuwa wenyewe na imani yao...SERKALI HAINA DINI/IMANI.
 
Tanzania ni nchi moja ya JMT, hakuna fedha ya bara wala ya Zanzibar kuna fedha moja tuu ya Tanzania ambayo inatumika kugharimia jambo lolote ndani ya JMT.
P
Kwani hao wahamiaji (wamasai, wasukuma, wahindi, n.k.) hawawezi kuwa Waislamu?
 
Tatizo wakristo mnaona kila kitu mnastahili nyinyi kipindi cha mkapa alipokuwa anawapa hela wakristo kila kanisa halafu waislam hawapewi mlikaa kimyaa mpaka alipoingia kikwete akahoji inakuaje hizi hela wanapewa wakristo tu waislamu hawapewi ikawa nongwa na ela za escrow wakristo mlipewa waislamu hawajapewa ila yote juyaoni umeona hlo la mwinyi kuzunguka misikiti.
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Mbona unachuki sana na uislamu,nafuatilia sana nyuzi zako,au kwa kuwa viongozi wakuu ni waislamu?,acha upumbavu wako dogo
 
Bila muungano Zanzibar ingekuwa nchi ya kiislamu.
Karibia asilimia 99 ya wakazi wa znz ni waislamu sasa kuna ubaya gani?!!

Tuache chokochoko za kijinga.

Kama kiongozi anahamasisha kumcha Mungu hakuna ubaya wowote, Lau kama angekuwa anahamasisha ushoga hapo tusingemuelewa kabisaa!!!!

Taifa likekosa maadili kwasababu watu hawana hofu ya Mungu, watu hawataki kwenda makanisani Wala misikitini, ni vyema viongozi wakahimizi wananchi jambo Hilo.
Kwenda kanisani ama msikitini siyo kigezo cha kuwa na hofu na Mungu.Kuacha dhambi na maovu ndiyo kuwa na hofu na Mungu.
Wengi wanaoenda kwenye nyumba za ibada huwa ni wanafiki wakubwa.Wanafanya hivyo kama show off tu.Ukifuatilia maisha yao,ndio watu wabaya kuliko hao wasioenda huko.
Ndio maana omba omba huwezi kuwakuta wameenda kuomba kwa watu wanaotoka kanisani ama msikitini.Utawaona wako bar wakipita kuomba.
Zamani hawa hawa omba omba walokaa nje ya mahekalu kwani walipata kidogo.

Tuache uovu tumche Mungu.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Huyu atakuwa Luhaga Mpina, ana nongwa kweli kweli na awamu hii.
 
Mbona unachuki sana na uislamu,nafuatilia sana nyuzi zako,au kwa kuwa viongozi wakuu ni waislamu?,acha upumbavu wako dogo
Ziweke hapa hizo nyuzi zangu unazodai, uongo ni ishara ya kukosa hoja.
 
Kwa muda mrefu huyu rais anajitambulisha kuwa yupo kwa ajili ya kuukuza uisilamu, rais Mwinyi huko nyuma aliwahi kusema ataongea na rais wa Tanzania kuona jinsi serikali ya Zanzibar inavyoweza kuanzisha mfuko wa Hija kwa waisilamu!

Huenda ulianzishwa au la, hata hivyo hilo si jambo analotakiwa kulifanya rais wa nchi.

Rais Mwinyi anatumia muda mwingi wa serikali kufanya shughuri za dini ya kiisilamu jambo ambalo si sahihi kwenye nchi ambayo serikali haina dini, anawanyima haki ya kuwahudumia wasio waisilamu na bahati mbaya hata siku ya Jumapili inapoteza heshima yake kwa kupanga shughuli za kiisilamu zifanywe siku hiyo.
Acha udini! Kwa hiyo waislamu hawatakiwi kufanya shughuli zao Jumapili?? Nani alokwambia Jumapili ni siku ya wakristo?
 
Wenye nchi Yao wamempa a.k.a [emoji2960]Kwakuwa anafanya Sana hayo mambo unakuta Kila ijumaa Unguja yupo msikitini bwana anazunguka misikitini tuu.
Mwendazake pia kila Jumapili alikuwa makanisani mbona hukulalama? Acha udini, haujengi!
 
Back
Top Bottom