Rais Mwinyi wa Zanzibar naye atakuwa anamuachia Mama awe anaenda Safari zake kama Mama afanyavyo Kwake?

Wewe ni mkichaa kwa kweli.

😂😂😂😂😂😂😂😂

Eti Mama ni follower wako. Jamaa wanasema yule Genta ni mwehu na nahisi ni mwehu kweli. Hahaahahah

Paragraph yako ya kwanza haina mahusiano na ulichoni-quote kwacho.
 
Na inawezekana VP na PM walimwambia Mama kwamba wao hawana shobo bna safari za nje kwasababu walikuwepo kwenye Serikali ya JPM na hawakuwahi kwenda nje na bado wapo poa tu.
 
Na inawezekana VP na PM walimwambia Mama kwamba wao hawana shobo bna safari za nje kwasababu walikuwepo kwenye Serikali ya JPM na hawakuwahi kwenda nje na bado wapo poa tu.
Halafu wanatokea wapumbavu wanataka waanze fyokofyoko hawajui hata ya ndani.

Tutaacha lini kuangalia outcome ya jambo badala ya kuangalia possible causes ya jambo hilo???

Kama ni falsafa waliokubaliana head of state, VP na PM je??

Wapiga domo watajuaje sasa
 
Mkuu tutawaelimisha humuhumu JF. Wasipoelimika shauri yao!
 
VP aamshe maruwe ya kikabila lao, amcharukie huyu bi mdashi wa kipemba,
Kuna mahali nimesoma kuwa Babu yake ni muoman asilia, mikwara ya uhamiaji ni vizazi vitatu inawahusu Waha tu?..... wajumbe hawakuliona hili hadi mtu akafika kileleni? ... Sheria za nchi hazizingatiwi tena?...😷🥱
 
Kuna mahali nimesoma kuwa Babu yake ni muoman asilia, mikwara ya uhamiaji ni vizazi vitatu inawahusu Waha tu?..... wajumbe hawakuliona hili hadi mtu akafika kileleni? ... Sheria za nchi hazizingatiwi tena?...[emoji40]🥱
Kwan huyo Jumong anazingatia sheria? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mambo haya,kila kitu nchi Ni kama Jana,sera za BOT na mabenki ziko hovyo system inachelewa kuchukua hatua,Benki mifumo imeshikiliwa, na wakubwa wapo tuu,hivi kuna laana inatutafuna?
Hii nchi aliyeiroga kafa na dawa alikoitupa hakujulikani.
 
Mhhh,team champions
 
Non sense, msieeeeeeeew.
 
Acheni Wivu
Ni Zamu Wa Zenj.
Mbona Mwendazake alikuwa anamtuma Bashite
Bashite kama mkuu wa mkoa alimwakilisha wapi raisi wa JMT nje ya mipaka ya nchi ya Tanzania? Kama kwenye mkoa aliokabidhiwa sawa, napo mamlaka yake yana mipaka, wanasema bila kuathiri vifungu vingine vya sheria mama.
Kwa maana hiyo rais kavunja katiba ?
Wajuvi wa sheria ya katiba wa wanaweza kuweka neno sahihi hapo, kama imevunjwa au imetamatishwa. Ila kwa maono yangu, sioni mwanga ukiingia kwenye karavati(tunnel) nililopo, hivyo bado ni giza mno, ngoja niendelee kukaza mwendo, pengine mbele huko nitaanza kuona mwangaza na kupata tumaini la kutoka kwenye hili tunnel na kujua huko nje kukoje ili nichague mwelekeo utakaonipendeza.

Wanafunzi wanapiga kelele darasani, monitor wa darasa hajulikani, mwalimu aliwaambia wanafunzi yeye hawezi kutumia fimbo wala ukali wa sauti, wanafunzi ni waelewa, hivyo akiwaambia wataelewa na wamuelewe hivyo.

Andika majina ya wapiga kelele darasani, waliofeli ni viboko, watoro waadhibiwe, mimba za utotoni fukuza mwanafunzi na weka jela mtia mimba, usafi wa mwanafunzi ukikaguliwa kila alhamisi, mchaka mchaka kila asubuhi kujiweka fiti kwa masomo ya siku nzima, wimbo wa taifa kuimbwa kila siku tukiwa mstarini kuongeza hamasa na ile sense of ownership, uzalendo.....n.k

Nimekumbuka enzi za shule ya msingi Nanjilinji.

Kazi iendelee
 
Atajua yeye, hatutaki habari zake za ukanjanja hapa. Afuate katiba ya JMT.
Ila uliyeandika kuwa ni mpemba ni wewe na si yeye Sasa nani kanjanja hapa?!!

Katiba inafuatwa barabara hususani kumteua mtu kumuwakilisha safari zake...it's a presidential decree embended in the constitutional maxima that can not be forced by anyone else....hiyo ndiyo katiba ya JMT!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…