Rais Mwinyi wa Zanzibar naye atakuwa anamuachia Mama awe anaenda Safari zake kama Mama afanyavyo Kwake?

Bado! tutulie tusiwe na haraka kazi inaendelea!
Rais anaweza kuwakilishwa na yeyote hata mimi au wewe!
 
Hivi nanjilinji siku hizi kunafikika bila tabu ?
 
VP na PM wamekabidhiwa mikasi ya kuzungukia mikoani na kukata utepe,
 
Yeye Mama aliwaambia Urais hautaki 2025? Hivi kwa Afrika hii uijuayo Wewe kuna Mtu ' akiuonja ' tu ' Urais ' atatamani Kuondoka mapema Madarakani na Kumkabidhi Mtu mwingine ' Kiurahisi ' tu kama msemavyo?
Ni Mandela peke yake mkuu.
 
Huyu Mama tumuache,sababu shida Ni CCM na sio Kiongozi,kama tukimpigia kelele anaonyeaha uso wa kuumiza mchana kweupe,kazi ya kupambana nae tuwaache Lumumba,kila mtu ajue tumekaa miaka saba bila increament,In fact,nchi Haina dira.kila mja anakuja na kudemka kivyake.
Huu ndiyo Ukweli tena 100% tu Mkuu.huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…