Rais Mwinyi: Watu wanadhani kuweka kodi kubwa ndio pato kubwa kwa Serikali, kodi kubwa inapunguza wafanyabiashara

Asante kwa kufata ushauri wangu. Kumbe mh. Mwinyi yupo jf.
 
Mzee jazia nyama kuhusu Texas. Mh. Mwinyi yupo humu anakusoma.
 
Tatizo la serekali hizi ni kwamba HAKUNA MPANGO RASMI NA WA KUDUMU WA KIBIASHARA UNAOWEKWA KWENYE MFUMO RASMI AMBAO HATABADILIKA KWA 25 YEARS KILA KIONGOZI ANYEINGIA ANATEKENYA MFOMO NA KUWEKA ATAKAVYO YEYE HILI HUARIBU MALENGO NA GUARANTEE KWA INVESTA INVESTA HAPENDI SHAKINGS ZA KIPUUZI dr kitila hongera najua upo huku tengenezeni sera rafiki za wafanyabiashara na investor za muda mrefu unshaked kwanza baada ya hapo anza sasa kutangazia wawekezaji
 
Nimesoma hii nikasema ni wewe kweli?...big up!!
 
Asante kwa busara na hekima
kuna kitu kinaitwa Equity and efficiency.
Equity, unachokifanya unaweka kodi kuwa kwa wafanya biashara, then hizo kodi zinazopatikana zinaingia kusaidia huduma za jamii, kutoa mikopo kwa wajisilia mali wadogo, kutoa elimu bure, kutoa huduma kwa jamii, na kujenga barabara, kutoa ruzuku na kulipa mishahara. Sio kitu kibaya nayo mbinu nzuri tu ya kiuchumi. Na mbinu hii hupunguza matabaka ya kiuchumi kwenye jamii. Fuatilia Tax double effect of Tax obama (rich man tax, capital gains, and inheritance duty)
 
Nikiongoz Mzuri Sana Ila shida regulation sina uhakika atafanikiwa kivile maana Znz kuna ZRB na TRA. Bad enough BOT ndio regulator Kwa bara na visiwani. Je anatoka vipi?
Soma vizuri ndugu juu ya kazi za BOT. Hiyo ni central bank ya Tanzania. Mambo ya fedha ni ya Muungano katika sarafu ingawa tuna wizara mbili za fedha ambazo BOT huwajibika nazo. Monetary Policies baina ya bara na Zanzibar hutumia interventions tofauti ndio maana wao wana mfumuko wao wa bei na bara wanareport peke yake. Zanzibar kwa hiyo wana semi autonomy inayowafanya wafanye maamuzi kwenye mambo yao yanyoihusu biashara ya Zanzibar
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jiwe na pro wake Kama wanapitia hizi comments Basi mwinyi lazima atapigwa Ban [emoji16]
 
Huyu jamaa kumbe anafikiri vizuri sana. Kama kwa Zenji inayotegemea utalii kwa asilimia kubwa, kukiwa na unafuu wa kodi kutavutia wateja na multiplier efect itakiwa kubwa. Amengalia mambo holistically, akienda hivi Zanzibar itasonga mbele kwa haraka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…