Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Unawafanya mashabiki wote wa Yanga waonekane ni HAMNAZO. Inaonekana hauna furaha, upweke unakusumbua na furaha yako unaitegemea kutoka kwa Simba na Yanga.Hii ndo tofauti ya CAFCL na shirikisho
Timu ikicheza Club bingwa CAFCL itaalikwa kwenye majukwaa makubwa ya kimpira
Viongozi wa timu za shirikisho hawawezi kusimama kwenye majukwaa makubwa,
Soma Pia: Hafla ya upangaji wa Makundi AFCON 2025, Tanzania tutapangwa na nani?
Viongozi wa Simba wapo wanatazama kwenye TV upangaji wa makundi
Hakika tumewaacha mbali