Unawafanya mashabiki wote wa Yanga waonekane ni HAMNAZO. Inaonekana hauna furaha, upweke unakusumbua na furaha yako unaitegemea kutoka kwa Simba na Yanga.Hii ndo tofauti ya CAFCL na shirikisho
Timu ikicheza Club bingwa CAFCL itaalikwa kwenye majukwaa makubwa ya kimpira
Viongozi wa timu za shirikisho hawawezi kusimama kwenye majukwaa makubwa,
Soma Pia: Hafla ya upangaji wa Makundi AFCON 2025, Tanzania tutapangwa na nani?
Viongozi wa Simba wapo wanatazama kwenye TV upangaji wa makundi
Hakika tumewaacha mbali
Ushabiki wa Simba na yanga unazalisha matahira wengi sana kwenye hii nchiHii ndo tofauti ya CAFCL na shirikisho
Timu ikicheza Club bingwa CAFCL itaalikwa kwenye majukwaa makubwa ya kimpira
Viongozi wa timu za shirikisho hawawezi kusimama kwenye majukwaa makubwa,
Soma Pia: Hafla ya upangaji wa Makundi AFCON 2025, Tanzania tutapangwa na nani?
Viongozi wa Simba wapo wanatazama kwenye TV upangaji wa makundi
Hakika tumewaacha mbali
Una akili sana MkuuUkiacha usemaji, Ally Kamwe ana Leseni ya Ukocha inayobtambuliwa na CAF.
Sasa CAF hawawezi kuacha kumwalika msemaji mwenye Leseni ya CAF ya Ukocha wamchukue mtu usiye jua chochote zaidi ya kuwa msemaji wa kawaida wa mpira