Rais na Mwenyekiti wa Chama changu (CCM), maadui wako siyo wapinzani Bali Machawa wa Mtandaoni na washauri wako baadhi

Rais na Mwenyekiti wa Chama changu (CCM), maadui wako siyo wapinzani Bali Machawa wa Mtandaoni na washauri wako baadhi

Kwa kuanza kabisa mi ni CCM ambaye uwa siyumbi kwa ninalo amini,

Moja naamini katika free mind, naamini katika kutofautiana kwa Hoja

Mama nakusihi epuka mambo haya
1. Usipende kusikiliza ushauri wa waliokuzunguka, Tafuta mbinu za kupata taarifa ikibidi ntaiwasilisha kwa njia ya Fetacth Budge Fel nadhani umenielewa!
2. Kundi kubwa ilipo upokea Urais walifurahi, Lakin kinachowaumiza ni kuwakumbatia Mawaziri ambao wamewai feli Mara kadhaa

Mwenzako alimfukuza NAPE, Na MAKAMBA we ukawarejesha hao hao! Na baada ya kufukuzwa ulisikia walivyokuwa wana mis behave Lakin we ukawaamini Tena hawa vijana wanakulia timing sana yan!

3.Kosa jingine kubwa pamoja na kwwmba tulipita tu kiujanja basi sisi ndo SERIKALI Ila suala la Msingi hata wale majembe walokuwa wanaunafuu umewaweka pembeni kwa ghafla kitu ambacho kitatutesa wapiga kampeni Mwaka 2025

Muhimu sana epuka machawa wasioweza eneza propaganda ikaaminika without any doubts

Sasa vijana wanaojifanya kukutetea ndo wanaharibu kabisa


Britanicca
Mkunazi Njiwa na Lucas mwashamba hawa ni kupe yaan ni zaid ya chawa!!
 
Mkunazi Njiwa ni kupe yaan ni zaid ya chawa!!
Mimi si chawa...

Nimekuwa nikisimamia maslahi ya chama toka niko sekondari....nilikuwa hivyo kipindi cha Kikwete...nilikuwa hivyo kipindi cha JPM na leo hii....

Mimi ni mjamaa muumini wa "dini" ya CCM...muulizeni kamarada Salum Ali Hapi ,Mwangomwango ,Livinus Mashindano ,Sambala ,mwenyekiti M Kawaida ,PP Katambi ,Suleiman Serera ,Asenga Abubakar,Sufyan Omar watakueleza hayo....

Sipiganii chama kwa sababu ya uteuzi wala maslahi koko....ukiteuliwa unakipigania chama muda gani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Ni mtazamo wangu lakini...unaweza kuniita mpumbavu [emoji1787]
 
Samia anaponzwa na wana CCM wenzake, aliyshauri mabango ya Samia kuwekwa nchi nzima amemlostisha sana sana
 
Samia anaponzwa na wana CCM wenzake, aliyshauri mabango ya Samia kuwekwa nchi nzima amemlostisha sana sana
Si kweli....

Makundi yanakosekanaje katika chama tena chama dola?!!!

Msafara wa mamba kenge hawakosekani....unawezaje kuwajua wote?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Pamoja na yote ni lazima alifikishe gari salama...ni lazima ailinde imani ya "dini" yetu CCM....afanyeje sasa ?!!!

Mnamshambulia hata pasipobidi....lichama likubwa...linchi likubwa asalimu amri ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

#Punda Afe Mzigo Ufike[emoji120]
 
Kwa kuanza kabisa mi ni CCM ambaye uwa siyumbi kwa ninalo amini,

Moja naamini katika free mind, naamini katika kutofautiana kwa Hoja

Mama nakusihi epuka mambo haya
1. Usipende kusikiliza ushauri wa waliokuzunguka, Tafuta mbinu za kupata taarifa ikibidi ntaiwasilisha kwa njia ya Fetacth Budge Fel nadhani umenielewa!
2. Kundi kubwa ilipo upokea Urais walifurahi, Lakin kinachowaumiza ni kuwakumbatia Mawaziri ambao wamewai feli Mara kadhaa

Mwenzako alimfukuza NAPE, Na MAKAMBA we ukawarejesha hao hao! Na baada ya kufukuzwa ulisikia walivyokuwa wana mis behave Lakin we ukawaamini Tena hawa vijana wanakulia timing sana yan!

3.Kosa jingine kubwa pamoja na kwwmba tulipita tu kiujanja basi sisi ndo SERIKALI Ila suala la Msingi hata wale majembe walokuwa wanaunafuu umewaweka pembeni kwa ghafla kitu ambacho kitatutesa wapiga kampeni Mwaka 2025

Muhimu sana epuka machawa wasioweza eneza propaganda ikaaminika without any doubts

Sasa vijana wanaojifanya kukutetea ndo wanaharibu kabisa


Britanicca
Hii ni awamu ya 4 iliyovaa sura ya awamu ya 6.

Ccm mmekwama.
 
Si kweli...

Ni picha iliyotengenezwa na mahasimu wake....

Hivi mbinu za utawala wa JPM zilikubaliwa na walio wengi?!!!

Mama asimamie mstari upi ?!!!

Aende na mbinu zake JPM ?!!! [emoji15][emoji15]

Asimamie mbinu zipi?!!

Pendekezeni.....
Si tunataka mzame kije chama na sirikali ingine.
 
Mimi si chawa...

Nimekuwa nikisimamia maslahi ya chama toka niko sekondari....nilikuwa hivyo kipindi cha Kikwete...nilikuwa hivyo kipindi cha JPM na leo hii....

Mimi ni mjamaa muumini wa "dini" ya CCM...muulizeni kamarada Salum Ali Hapi ,Mwangomwango ,Livinus Mashindano ,Sambala ,mwenyekiti M Kawaida ,PP Katambi ,Suleiman Serera ,Asenga Abubakar,Sufyan Omar watakueleza hayo....

Sipiganii chama kwa sababu ya uteuzi wala maslahi koko....ukiteuliwa unakipigania chama muda gani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Ni mtazamo wangu lakini...unaweza kuniita mpumbavu [emoji1787]
Kumbe unajua CCCm ni Dini, sasa ugomvi na Tec unatoka wapi?
 
Ila kuwarudisha nape na january kumeonyesha wazi unafiki wa mama abdul
 
Back
Top Bottom