Mkuu nakubaliana kabisa na Wewe kwani majuzi nilikuwepo pale 'Beach Kidimbwi' ambako ndiko ilikuwa moja ya 'Maskani' Kuu ya 'Kula Bata' kwa Paul Makonda huku akiwa na hao 'Marafiki' zake ambao alipokuwa RC walikuwa 'wakimnyenyekea' mno ila kwa jinsi 'walivyobadilika' sasa hadi 'Kumsema' na 'Kumcheka' kweli nimeamini hakuna Watu 'Wanafiki Waandamizi' duniani kama Watanzania hasa ukiwa na Hela au Madarakani.