mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Huu Mhimili au wezi kuhimiliwa kabisaHata Mzee Samwel Six aliikosoa sana serikali ya Kikwete. Ndugai anatumia haki yake ya kutoa maoni kama ambavyo kina Bulembo wanatumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Mhimili au wezi kuhimiliwa kabisaHata Mzee Samwel Six aliikosoa sana serikali ya Kikwete. Ndugai anatumia haki yake ya kutoa maoni kama ambavyo kina Bulembo wanatumia.
Mwigulu amepoa sana kutuletea data za tozo zilizopatikana na zilikoelekea.Tozo za kujenga madarasa haiongelewi tena sijui imekuaje...
Umbeyabongo bwana utafikiri tumejichagua kukaa pamoja.wabunge wasipo kosoa mnasema wanapiga makofi tu.wakikosoa mnasema hawaitakii mema taifa.sasa tusimamie wapi
Kumtoa Ndugai huo u Spika ni kazi rahisi sana ambayo inaweza kutekelezwa kwa kikao kimoja tu!!Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.
Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?
Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.
Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?
Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.
Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
T 21 kwa miaka 5 ndizo alizokopa jiwe, hangaya 11T ndani ya miezi 9.na anasema atakopa ili amalize miradi .mm Sina neno akope lkn kwa mahesabu na matumiz sahh ya hiyo mikopo!!Magufuli alikopa 50% ya Deni ndani ya miaka 5
Siku wakimtoa tu naenda kulipia kadi ya uanachama na malimbikizo yote tangu awamu ya pili ya KikweteKumtoa Ndugai huo u Spika ni kazi rahisi sana ambayo inaweza kutekelezwa kwa kikao kimoja tu!!
Kazi ya uraisi ni ya wanawake,miaka 60 imetutosha.Unashida mahali yaani akikosolewa kidogo unakimbilia mambo ya maumbile so what? Kama hakiwezi why asing’atuke awaache wanaume waashike nchi
Lakini miradi mikubwa mikubwa ambayo haijawahi kufanywa na yeyote katika waliomtangulia aliifanya au aliianzisha ambayo ikikamilishwa italeta neema kubwa katika hii nchi, Tugange yajayo ! Mwacheni Jpm legacy yake ni ngumu kuifuta, mark my word !!Sasa haya maneno mngemwambia msukuma mwenzenu kipindi kile,maana yeye ndio amevunja rekodi ya kukopa, kwa miaka 5 tu kakopa trillion 30