kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Namuunga mkono spika Ndugai kaongea point tukiichukulia umakini kaongea kitu kizuri kukosea kupo kaamua kujirekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachonishangaza maneno kama ya Ndugai yakisemwa na mtu wa upinzani, samia anamfungulia huyo mtu kesi ya ugaidi ila yakisemwa na liccm lenzake anaishia tu kujibizana naye kwnye majukwaa.Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.
Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?
Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.
Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?
Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.
Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Tozo ni mradi wa Mwigulu2025 tutashuhudia mengi. Naona Samia nae kaonyesha misuli yake. Kasema ataendelea kukopa. Ila sasa kama wanakopa hizi tozo zetu zinafanya kazi gani ?Au ndo zinawalipa allowances za safari zao.
Watz wengi elimu ya uraia imewapitia kushoto.Hiyo nguvu ya kumng'oa spika wa bunge mwenyekiti wako anapewa na ibara ipi ya katiba?!
Ni kweli kukopa siyo jambo zuri sana lakini kwa maslahi ya kiuchumi na udhaifu wa miundo mbinu ni lazima kupata fedha za haraka kutatua shida na mahali pa kupata fedha ni kukopa. Lakini linalotia mashaka kwa wanaomlaumu Rais Samia, ni watu waliokuwepo na walikuwa wakijua kuwa awamu ya tano imekopa zaidi na kwa kificho na wote walinyamaza kimya, na isitoshe hata matumizi mengine mengi hayakuidhinishwa na bunge,na hawakuwahi kuhoji. Na hata ripoti za Cag hazikuwahi kufanyiwa kazi zaidi ya kushuhudia cag mwenyewe anahojiwa na bunge. Kama tunaipenda nchi yetu tuachane na roho ya unafiki haitatufikisha popote.Serikali yenye akili husisitiza uzalishaji wa ndani ili iweze kuuza nje na kupata fedha za kigeni. Wanaompotosha mama kwa kopa kopaa kopaaaa kopaaaaaa kopaaaa@aaaaaaaq, sijui wana maana gani.
Tukope kwa tahadhari na kwa viwango.
Kuna watu wanafikiria ni kama hawana vichwaImefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.
Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?
Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.
Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?
Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.
Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Kesha kopa na hakuna wa kumziwia, huyo ndugai ni mnafiki mkubwa bora akae kimya maana tunamkumbuka Sana maneno na matendo yake enzi za yule bwana, sahizi anajifanya kubwatukaTupo na Ndugai mama aache kukopa kopa hovyo pasipokuwa na malengo nchi hii inaweza jiendesha pasipo mikopo siku alitoka madarakani atatiuachia deni la trillion mia maana sio kwa kasi hii miezi tisa ya uongozi wake kakopa si chini ya trillion 10 hadi sasa…
kukuambia kwamba wewe ni tajiri ilihali walala na njaa?Waliokuwa wakitupeleka vizuri ni awamu ya 5. Ni ngumu kumeza ukweli lakini walikuwa wakituambia ukweli. Uchumi wa kujidanganya kwa mikopo ya hovyo na kutumia hovyo ni kujidanganya ya hali ya juu sana.
Kwani mkopo wa WB na IMF unaletea nyumbani kwako? Tunaongelea sustainability ba sovereignty ya nchi hapa. Hatuangalii uvivu wako wa kushindwa kufanya shughuli za kujitafutia kipato.kukuambia kwamba wewe ni tajiri ilihali walala na njaa?
Eti tunamihili mitatu.Mnacheza ngoma ya CCM! CCM mtu hawezi kuongea bila kujua Mkiti anataka nini, Ndugai ni mjumbe wa kamati kuu ya chama, na ni spika, anaaccess ya moja kwa moja na Rais, na sidhani kama inapita wiki moja bila kuongea na Rais! Unadhani anajiongelea tu bila kujua nini anafanya/wanafanya?
Tatizo lako ni Mbowe tu, sio hao wengine.Dharau tu naona enzi za jiwe kila mtu aliufyata kuanzia kina Mbowe walikuwa kimya over sudden wote wameota mapembe, ndugai yeye alikuwa anasifia tu kila kitu Hadi vya kijinga
Hizo tozo zenu ni pesa za mboga tu.2025 tutashuhudia mengi. Naona Samia nae kaonyesha misuli yake. Kasema ataendelea kukopa. Ila sasa kama wanakopa hizi tozo zetu zinafanya kazi gani ?Au ndo zinawalipa allowances za safari zao.
umesaha bunge ndo linauwezo wa kumwondoa rais madarakani kwa kumpigia kura.Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.
Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?
Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.
Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?
Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.
Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Sina shida na mbowe and it's my pray atoke njeTatizo lako ni Mbowe tu, sio hao wengine.
leta takwimu mkuuMagufuli alikopa 50% ya Deni ndani ya miaka 5
Acha uzushi na propaganda za kijinga, takwimu za kukopa hiyo trillion 10, umezitoa wapi? Deni la Taifa hadi Sasa no trillion 72. Magufuli aliacha deni la Taifa likiwa trl.71, Kiwete aliacha likiwa trl.43. Kama Samia angekuwa kakopa trl.10 Kama unavyo dai deni Taifa lingekuwa trl 80+.Tupo na Ndugai mama aache kukopa kopa hovyo pasipokuwa na malengo nchi hii inaweza jiendesha pasipo mikopo siku alitoka madarakani atatiuachia deni la trillion mia maana sio kwa kasi hii miezi tisa ya uongozi wake kakopa si chini ya trillion 10 hadi sasa…