Rais na Mwenyekiti wangu, usisubiri mpaka uharibifu wa Spika Ndugai ukuchafue

Rais na Mwenyekiti wangu, usisubiri mpaka uharibifu wa Spika Ndugai ukuchafue

Kurukaruka kwa maharage ndyo huko sasa zandanindani kabisaa Mambo yamekwivaaa[emoji3]
 
Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.

Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?

Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.

Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?

Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.

Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Spika ni mkubwa mwenzie, hana la kumfanya.
Isitoshe Ndugai katema point sana kuliko wakati wowote, mnyonge mnyongeni haki yake mwachieni.
 
2025 tutashuhudia mengi. Naona Samia nae kaonyesha misuli yake. Kasema ataendelea kukopa. Ila sasa kama wanakopa hizi tozo zetu zinafanya kazi gani ?Au ndo zinawalipa allowances za safari zao.
Huwa nafurahi nikiona AVATAR yako !!
 
2025 tutashuhudia mengi. Naona Samia nae kaonyesha misuli yake. Kasema ataendelea kukopa. Ila sasa kama wanakopa hizi tozo zetu zinafanya kazi gani ?Au ndo zinawalipa allowances za safari zao.
Kimsingi 2025 Samia anakibarua kizito kuliko wakati wowote.
Ndugai ana nguvu ukijumlisha na sukuma gang wakiunganisha nguvu Samia hapenyi.
 
Kimsingi 2025 Samia anakibarua kizito kuliko wakati wowote.
Ndugai ana nguvu ukijumlisha na sukuma gang wakiunganisha nguvu Samia hapenyi.
Maneno haya haya yalimpa kiburi Asad na kuamini kuwa ana uwezo sawa na aliyemteua. Spika naye ni mteule tu, ana kinga ya kutokuondolewa. Tutaanza kushughulikia ubunge wake
 
Maneno haya haya yalimpa kiburi Asad na kuamini kuwa ana uwezo sawa na aliyemteua. Spika naye ni mteule tu, ana kinga ya kutokuondolewa. Tutaanza kushughulikia ubunge wake
Mnaweza kufanya hivyo
 
Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.

Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?

Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.

Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?

Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.

Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Kwani anaweza kumfanya nini?
 
Imefikia hatua Spika anamkosoa kila lililo jema na kukubali yasiyofaa. Ukosoaji wa namna hii si afya kwa ustawi wa nchi yetu.

Tabia hii ameanza kuonesha katika hiki cha awamu ya sita. Mbona Rais Magufuli alikuwa anafanya yanayofanywa na awamu hii lakini hakuwahi kukosoa?

Ukosoaji wa aina ya Ndugai ni moja wa ufa hatari sana katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi. Ukiachana na nchi chache sana duniani ambazo zina uchumi imara wa kujiendesha zenyewe, nchi nyingi zinategemea mikopo ili kukamilisha ujenzi.

Spika licha ya kujua umuhimu wa mikopo yenye riba nafuu na masharti rahisi lakini bado anaona mikopo hiyo haifai. Bila kutoa njia mbadala wa kuongeza mapato ya ndani anapinga mikopo nafuu. Je, maendeleo yatakujaje?

Yawezekana Spika kaona siku zake za kukalia kiti cha uspika zimeisha au ana nia na lengo tofauti la kumkwamisha Rais na Mwenyekiti wake.

Rais na Mwenyekiti wangu, nguvu na uwezo wa kumtoa Spika unao, fanya sasa kabla uharibifu wa Spika haujaota mizizi itakayokuwa migumu kuing'oa
Ashajua

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyo ni spika unadhani wakuteuliwa huyo? Mawaziri wenyewe wapo chini ya spika. Tulia tu, mtu atumie nguvu zake na hakuna wa kumhoji.
 
Maneno haya haya yalimpa kiburi Asad na kuamini kuwa ana uwezo sawa na aliyemteua. Spika naye ni mteule tu, ana kinga ya kutokuondolewa. Tutaanza kushughulikia ubunge wake
Nyie akina Nani ilihali sisi tuliomchagua kua mbunge(wananchi ) tumeridhia kauli take!!?
 
Unajua msichanganye mkopo na deni. 17T zinazozungumzwa ni deni. Maanake mkopo umeiva na riba zake na bado kuna additional ya riba za mikopo ya miaka mingine before 2015. Nimeona nikupe hiyo elimu kwanza.
Na hapa hatuna sababu ya kushindanisha hawa viongozi wetu wawili.
Hapa tuitendee haki nchi yetu na vizazi vijavyo. Tuache kuwa pure presidential keepers.
Dawa ya deni kulipa tu,limeiva halijaiva,litaiva kulipwa litalipwa tu.
Spika katoa wazo zuri tu,kwamba tuko pabaya kwa deni tulilonalo tuachane na vimikopo vidogodogo tukomae kulipa deni tulilonalo na kutumia mapato ya ndani kwa maswala yetu humu ndani.
Mi naona kasema sawa kabisa ingawa si shabiki wake wala chama chochote cha siasa.
 
Magufuli alikopa 50% ya Deni ndani ya miaka 5
Twende sawa hapa, wanasema Magufuli alikopa trillion 30 ktk kipindi chake cha miaka 6.
Mama ameshakopa trillion 7.7 ktk kipindi cha miezi 8. + Tozo na mfumuko wa bei. Kuna shida hapa!
 
Unashida mahali yaani akikosolewa kidogo unakimbilia mambo ya maumbile so what? Kama hakiwezi why asing’atuke awaache wanaume waashike nchi
Mpumbavu fulani wewe...
 
Dawa ya deni kulipa tu,limeiva halijaiva,litaiva kulipwa litalipwa tu.
Spika katoa wazo zuri tu,kwamba tuko pabaya kwa deni tulilonalo tuachane na vimikopo vidogodogo tukomae kulipa deni tulilonalo na kutumia mapato ya ndani kwa maswala yetu humu ndani.
Mi naona kasema sawa kabisa ingawa si shabiki wake wala chama chochote cha siasa.
Spika kasema 'bajeti yetu ni trillion 30. Trillion 10 tunaripia riba ya mkopo hii ni hatari sana.
Yaan hatulipi mkopo bali tunalipa riba ya mkopo. Deni halitaisha kamwe!
Mwenye masikio na asikie
 
Hii ni vita kati ya timu wazalendo (#kataawahuni)na team wapigaji (tunaiponya nchi)
Timu wazalendo inaenda kuchukua ushindi mchana kweupe! Inaonekana imejipanga kwelkweli.
 
Mkuu ni kweli awamu ya 5 walikuwa wanatuambia lakini walikuwa hawafanyi walichokuwa wanatuambia. Sasa hivi awamu ya 6 maneno na matendo ni sawa sawa kabisa. Hakuna mtu aliyekosa kama Magu, kwa miaka 5 kakopa more than 17trl!!!! Fanya ratio uone kila mwaka alikopa Tsh. Ngapi!!! Huyu mama yetu kakopa 1.3tln imekuwa nogwa kiasi hiki?
Wendawazimu waendelee kulala kuzimu.
Mkuu mama keshakopa zaidi ya trillion 7.7 weka sawa hapo
 
Dharau tu naona enzi za jiwe kila mtu aliufyata kuanzia kina Mbowe walikuwa kimya over sudden wote wameota mapembe, ndugai yeye alikuwa anasifia tu kila kitu Hadi vya kijinga
Cariha, naomba Mungu akupe macho ya kuona😃😃😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom