Rais na Mwenyekiti wangu, usisubiri mpaka uharibifu wa Spika Ndugai ukuchafue

Tozo za kujenga madarasa haiongelewi tena sijui imekuaje...
Mwigulu amepoa sana kutuletea data za tozo zilizopatikana na zilikoelekea.
Au anaumwa?Kama mzima na anachapa kazi anyoshe mkono juu tumuone tulioko huku BURUNDI
 
Kumtoa Ndugai huo u Spika ni kazi rahisi sana ambayo inaweza kutekelezwa kwa kikao kimoja tu!!
 
serikali ywnye ukomavu wa akili,hubuni namna ya kujipatia pesa zake yenyewe,hubuni uzakishaji wa bidhaa na kutafuta soko nje!! serikali inayopanga miradi kwa kutegemea kukopa tu,ni hatari kubwa!!,
 
Magufuli alikopa 50% ya Deni ndani ya miaka 5
T 21 kwa miaka 5 ndizo alizokopa jiwe, hangaya 11T ndani ya miezi 9.na anasema atakopa ili amalize miradi .mm Sina neno akope lkn kwa mahesabu na matumiz sahh ya hiyo mikopo!!
 
Kumtoa Ndugai huo u Spika ni kazi rahisi sana ambayo inaweza kutekelezwa kwa kikao kimoja tu!!
Siku wakimtoa tu naenda kulipia kadi ya uanachama na malimbikizo yote tangu awamu ya pili ya Kikwete
 
Unashida mahali yaani akikosolewa kidogo unakimbilia mambo ya maumbile so what? Kama hakiwezi why asing’atuke awaache wanaume waashike nchi
Kazi ya uraisi ni ya wanawake,miaka 60 imetutosha.
 
Hahahahahahaaa!! Awamu y 5 ilikua inatuongopea kua miladi yoooote inajengwa kwa kodi zetu.
 
Sasa haya maneno mngemwambia msukuma mwenzenu kipindi kile,maana yeye ndio amevunja rekodi ya kukopa, kwa miaka 5 tu kakopa trillion 30
Lakini miradi mikubwa mikubwa ambayo haijawahi kufanywa na yeyote katika waliomtangulia aliifanya au aliianzisha ambayo ikikamilishwa italeta neema kubwa katika hii nchi, Tugange yajayo ! Mwacheni Jpm legacy yake ni ngumu kuifuta, mark my word !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…