Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini?

Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini?

Si wanachukua zao za kubrashi viatu kama alivyowaagiza bwana yule mwendazake yaani kuna wamama wanamavitambi utadhani maujauzito ya miezi 10 lakini wamo tu wanalamba jero buku ikisalia hata miambili hawaachi hii nchi inashida nyingi sana ,ndio maana wenzao wanalalamikia mishahara madaraja posho wao hawana habari ndio kwaaaanza wanapumulia juu juu kama mijusi imebanwa na mlango
 
Mheshimiwa Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini?

Basi limesajiliwa Route husika lakini unakuta Traffic kila siku wao kazi kupiga mkono daladala na kudai hela

Piga marufuku matraffic kukamata daladala ambazo ziko kwenye route husika na hawa traffic wa Dar wahamishiwe vikosi vingine vya polisi mikoani vya Traffic waletwe wapya

Hakuna wenye kuumia dar kama madereva wa daladala Traffic wamewafanya mradi wao wa kupata riziki ya kila siku

Siseme hata Takukuru wahangaike nao wapugwr chini wapekekwe vikosi vingine vya polisi hata vya mbwa au farasi wa polisi wote asibaki hata mmoja Traffic
Hao polisi wanapokuwa wanaiba kura za wapinzani mbona hamlalamiki? Wakati waliporuhusiwa kukusanya hela za kubrashia viatu na mwenyekiti wenu wa chama na ambaye ni hayati kwa sasa, mbona hamkupaza sauti zenu kukemea aina ile ya upotoshaji?
 
Mheshimiwa Rais niulizie Traffic Dar kisa cha kila siku kukamata daladala na kuwadai hela wakati wako kwenye route sajiliwa ni nini?

Basi limesajiliwa Route husika lakini unakuta Traffic kila siku wao kazi kupiga mkono daladala na kudai hela

Piga marufuku matraffic kukamata daladala ambazo ziko kwenye route husika na hawa traffic wa Dar wahamishiwe vikosi vingine vya polisi mikoani vya Traffic waletwe wapya

Hakuna wenye kuumia dar kama madereva wa daladala Traffic wamewafanya mradi wao wa kupata riziki ya kila siku

Siseme hata Takukuru wahangaike nao wapugwr chini wapekekwe vikosi vingine vya polisi hata vya mbwa au farasi wa polisi wote asibaki hata mmoja Traffic
Kwani gari ikiwa kwenye route yake, ndio haina makosa mengine?tena kama dar, trafic wakisema wafanye kazi yao inavotakiwa asilimia 75, ya magari yatakosa sifa za kuwa barabarani!!ndio maana wanabebana hivyo!!na utakuta kondakita kutoa 2000 kumpa trafiki ni kama haimpunguzii kitu!!mfano magari yatokayo tmk/mbagala kwenda ubungo hiyo foleni ya kuanzia hapo sokoto kwenda tazara, dreva anaona ni bora azungukie kule vetenari (RTD)akutane na trafiki pale ampe buku 2, kuliko kusubilia foleni.kwa dar , yaani dreva anavunja sheria hasa kubadirisha njia , kwa makusudi akijua kabisa nakutana na trafic nitampa 2000!!na wao hawachukui nyingi sana!!usiku ndio usiseme kabisaa kuna migari hiyo kama ya DRC!!nayo ndio mida yake ya kuamka ikiingizwa gia hadi tayari za mbele kama zina nyenyuka!!!halafu mkiwa ndani likiwa linatembea abiria mnakuwa kama vile mnakatishwa viuno!!
 
Nafikiri IGP Sirro ndio unatakiwa kumuuliza sio Rais.Watanzania kila kitu Rais?
Ukiona tunataka Raisi aingilie kati ujue hilo tatizo limeshi dikana chini.kwa muda mrefu ndio maana Raisi kwa hadira huwa anaona akitumbua mkubwa kwa sababu ya kutomaliza tatizo la walio chini yake .Hili la Rushwa za traffic kwenye daladala Siero limemshinda
 
kama dar, trafic wakisema wafanye kazi yao inavotakiwa asilimia 75, ya magari yatakosa sifa za kuwa barabarani!! kuna migari hiyo kama ya DRC!!!!
Hapo ndio tatizo la Traffic linapoanzia .Sio weledi wala wabuniu kusaidia raia.Sisi hatuyengenezi magari tunanunua nje na asiñimia 99ya magari ni yaliyookotwa majalani japan yaani mitumba au used car sasa wewe ukija kujitia unatumia sheria za taffic za ulaya kwenye magari mapya hutendi haki ohhh hili gari mbona limepauka rangi faini ohhj mbona gari indicatot haiwaki faini si umwambie tu akarekebisha bulb kuungua kitu kidogo yaweza ungua popote ohh tairi kipara nini ? gari lenyewe choka na deteva choka mbaya mumiñiki choka mbaya mbaya unataka liwe na tairi mpya?

Ohh huna triangle faini vitu vya hovyohpvyo tu .Kucheleweshana tu safari na kuibiana tu pesa
 
magari mengi kibongo bongo huwez kulikagua ukakuta halina kosa. Mengi Ni janja janja tu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Yabaluflect hali yetu ya uchumi
magari yenyewe tunanunua toka majalani japani used

unatakaje.Na serikali inajua ukikomaa kukagua unamkomalia nani
 
Traffic wote waondolewe barabarani nchi nzima warudi vituoni ikitokea ajali,au msafara ndio waje barabarani mbona miaka ya nyuma ilikuwaga hivyo?au nchi nyingi duniani askari huyu hasimami barabarani bali kunakua na road patrol,au highway patrol
 
Traffic wote waondolewe barabarani nchi nzima warudi vituoni ikitokea ajali,au msafara ndio waje barabarani mbona miaka ya nyuma ilikuwaga hivyo?au nchi nyingi duniani askari huyu hasimami barabarani bali kunakua na road patrol,au highway patrol
Naunga mkono hoja hawa add value yoyote ya maana zaidi ya kula rushwa tu
 
Back
Top Bottom