Rais Nyerere na mkewe kwenye mazishi ya Indira Gandhi

Rais Nyerere na mkewe kwenye mazishi ya Indira Gandhi

Kweli una haki ya kuuliza
Indira Gandhi alikuwa Waziri mkuu wa India
Aliuwawa na bodyguard wake nyumbani

Mtoto wake Sanjay ambae ndio alikuwa anategemewa kuwa Waziri mkuu baada ya mama yake nae akafa kwenye ajali ya ndege mwaka 1980

Baada ya hapo mtoto wake mwingine anaeitwa Rajiv Gandhi akaja kuwa Waziri mkuu nae akauwawa 1991
Familia ikawa imeisha kwenye utawala hapo
Inahuzunisha historia yao
Kwa nini waliwasakama hivyo?
 
Kweli una haki ya kuuliza
Indira Gandhi alikuwa Waziri mkuu wa India
Aliuwawa na bodyguard wake nyumbani

Mtoto wake Sanjay ambae ndio alikuwa anategemewa kuwa Waziri mkuu baada ya mama yake nae akafa kwenye ajali ya ndege mwaka 1980

Baada ya hapo mtoto wake mwingine anaeitwa Rajiv Gandhi akaja kuwa Waziri mkuu nae akauwawa 1991
Familia ikawa imeisha kwenye utawala hapo
Inahuzunisha historia yao
Hivi Indira Gandhi alifanya nini mpaka kujijengea heshima kubwa?
 
Kwa nini waliwasakama hivyo?
Mwaka 1984 Waziri Mkuu Indira Gandhi aliruhusu wanajeshi wavamie Temple na kuwaondoa Singh
Tunawaita SingaSinga

Ila walinzi wake walikuwa Singh pia
Alifikiri ni loyal kwake hivyo wakamuua kwa risasi nyumbani kwake wakiwa wanamlinda
 
Back
Top Bottom