Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Eti jamaa kapokonywa urais utafikiri amepokonywa kalamu,kizembe sanaaaSasa mbona jamaa alipokonywa urais kizembe hivyo 😆 hakuwa na jeshi au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti jamaa kapokonywa urais utafikiri amepokonywa kalamu,kizembe sanaaaSasa mbona jamaa alipokonywa urais kizembe hivyo 😆 hakuwa na jeshi au
Jamaa katoka kwenye matibabu amerudi eti anaudai urais wake 😆 hizi nchi nyingine uongozi wake uko vipEti jamaa kapokonywa urais utafikiri amepokonywa kalamu,kizembe sanaaa
Unawezakuta jamaa alipiga mpaka na magoti kuomba arudishiwe urais wake😅😅Jamaa katoka kwenye matibabu amerudi eti anaudai urais wake 😆 hizi nchi nyingine uongozi wake uko vip
Ni kitukoUnawezakuta jamaa alipiga mpaka na magoti kuomba arudishiwe urais wake😅😅
Huyo mwamba alishausoma mchezo akisepa anasepa na urais wake hataki ujinga 😀Ni kituko
Rais kila akisafiri nje anarudi kuomba urais wake ndio maana kijan wakaamua kujivika umungu mtu tu 😆
Biya ni bambeleke?Etoo hawezi kuwa Rais licha ya influence. Anapigwa vita sana. Kila miradi ya maendeleo akitaka kuanzisha wanampiga vita wanamuambia lazima ipitie serikalini na izinduliwe. Watu wa Kabila la Biya wameapa watatawala milele Cameroon. Etoo ametokea kabila la Basaa ndo wasukuma wa Cameroon kwa wingi. Ila kuna kabila linaogopwa kwa maendeleo wachaga wa Cameroon wanaitwa Bambeleke. Makabila mengine Cameron waapa hawatapata madaraka.
Hapana hawezi kwasababu ndio adui namba moja ya Bambeleke. Paul Biya anawaua sana kwasababu Bambeleke wanachochea sana Cameroon kujitenga.Biya ni bambeleke?
Mkuu Paul Biya hata akiwa nje ya nchi hana wasiwasi na urais wake. Kwani kajaza ndugu na kabilHuyo mwamba alishausoma mchezo akisepa anasepa na urais wake hataki ujinga 😀
Halahalaaa cameroone, habari nyepesi nyepesi toka parii na younde zinaarifu huyu ancestor presida wa kamerune yamemfika huko parii alumanusura apate lunch box ya jeneza. Hatari bini vuu.
Habari kamili itawajia kupitia vyanzo timilifu.
Bia anamwaga muda si mrefu.
Nikiripoti habari nyepesi ama tetesi nikiwa chako ni chako.
Ipo video ila sio wakati muafaka kuipandisha maana kuna wabishi utazani ni majini kimbunga
View attachment 2419884
Hatari sanaHuyu na Jezebel wake imetisha sasa. Wee nchi gani watu wanazaliwa mpaka wanakuwa na miaka 40, hawajawahi ona rais mwingine.
SAHIHISHO KIDOGO: Rais Paul Biya hakuwa Paris wakati wa kuadhimisha miaka 40 ya utawala wake nchini Cameroon. Bali "Chawa " wake wanaoishi Paris ndiyo waliandaa sherehe hiyo ya kuadhimisha miaka 40 ya Paul Biya kama Rais wa Cameroon. Na waliowafanyia fujo ni wapinzani wa Biya wanaokaa nje ya Cameroon wakiwapo nchi nyingi za Ulaya including France. Siyo kitu chepesi kwa Paul Biya kutokeza hadharani nakukutana na comon menHalahalaaa cameroone, habari nyepesi nyepesi toka parii na younde zinaarifu huyu ancestor presida wa kamerune yamemfika huko parii alumanusura apate lunch box ya jeneza. Hatari bini vuu.
Habari kamili itawajia kupitia vyanzo timilifu.
Bia anamwaga muda si mrefu.
Nikiripoti habari nyepesi ama tetesi nikiwa chako ni chako.
Ipo video ila sio wakati muafaka kuipandisha maana kuna wabishi utazani ni majini kimbunga
View attachment 2419884
Aliingia madarakani mwaka 1982 baada ya kung'ang'ania urais alipokuwa ameachiwa ofisi ashikilie kwa muda na rais Ahmadu Ahidjo aliyekuwa ameenda kwenye matibabu nchini Ufaransa.
Ahidjo aliporejea na kudai urais wake jamaa alitaka kumuweka ndani na ndipo Ahidjo aliona isiwe shida akarejea tena Ufaransa na baadaye kufariki dunia akiwa ukimbizini.
Huyo ndiye Bw. Paul Biya na yeye kila uchaguzi kwa kuwa tume ni yake hushinda kama apendavyo kila baada ya miaka 7, uchaguzi ujao ni mwezi wa 10 mwaka 2025.
Hapo kwenye ukabila sasa ndio patawatafuna vibaya sana.Etoo hawezi kuwa Rais licha ya influence. Anapigwa vita sana. Kila miradi ya maendeleo akitaka kuanzisha wanampiga vita wanamuambia lazima ipitie serikalini na izinduliwe. Watu wa Kabila la Biya wameapa watatawala milele Cameroon. Etoo ametokea kabila la Basaa ndo wasukuma wa Cameroon kwa wingi. Ila kuna kabila linaogopwa kwa maendeleo wachaga wa Cameroon wanaitwa Bambeleke. Makabila mengine Cameron waapa hawatapata madaraka.
Wacameroon wana ukabila wa hatariiii hata Kenya ni cha mtoto. Na mfaransavna muingereza ndo alipandikiza iyo chuki.Hapo kwenye ukabila sasa ndio patawatafuna vibaya sana.
Duh! Kwenye ukabila tumshukuru JK wa kwanza alicheza kama Zidane 1998 World Cup😀😀Mkuu Paul Biya hata akiwa nje ya nchi hana wasiwasi na urais wake. Kwani kajaza ndugu na kabil
a lake karibia nafasi nyeti serikalini na jeshini. Pia kuna Jeshi lake ndani ya Jeshi la Camroon.
Hao ndugu zake ni wakatili balaa na wanalinda madaraka ya Paul Biya kwa udi na uvumba.
Pili makabila mengine mengi yanamuunga mkono licha ya udikteta ilmradi tu Bambeleke wasipate madaraka.
Tatu Biya ana support ya pekee kutoka Ufaransa, Uingereza na Marekani.
Nilishaletafa uzi kwenye ID yangu ya Maghayo 2020 kuhusu siasa za Cameroon na kabila la Bambeleke.
Jeremy Njitap ni Bambeleke. Na Fan Sam Thomas aliyeimba Danse Danse African collection ni Bambeleke.
Mungu awatete ktk hilo.Duh! Kwenye ukabila tumshukuru JK wa kwanza alicheza kama Zidane 1998 World Cup😀😀