Kwa msaada wa Urusi?Ila Kuna waziri kafa...Biya kaescape, wacameroon wamechachuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa msaada wa Urusi?Ila Kuna waziri kafa...Biya kaescape, wacameroon wamechachuka
Cameroon ina resources gani za maana?Wacameroon wana ukabila wa hatariiii hata Kenya ni cha mtoto. Na mfaransavna muingereza ndo alipandikiza iyo chuki.
Yule binti yake Brenda mzuri hatareeWacameroon wana ukabila wa hatariiii hata Kenya ni cha mtoto. Na mfaransavna muingereza ndo alipandikiza iyo chuki.
Hahaha wasukuma wa cameronEtoo hawezi kuwa Rais licha ya influence. Anapigwa vita sana. Kila miradi ya maendeleo akitaka kuanzisha wanampiga vita wanamuambia lazima ipitie serikalini na izinduliwe. Watu wa Kabila la Biya wameapa watatawala milele Cameroon. Etoo ametokea kabila la Basaa ndo wasukuma wa Cameroon kwa wingi. Ila kuna kabila linaogopwa kwa maendeleo wachaga wa Cameroon wanaitwa Bambeleke. Makabila mengine Cameron waapa hawatapata madaraka.
Kila kitu mafuta ( Anglo fon) iliyopakana na Nigeria, Dhahabu, almasi, mbao/miti, ardhi nzuri ya rotuba kilimo etcCameroon ina resources gani za maana?
Sawa mkuu ..naomba link ya huo uzi wako wa siasa za CameroonKila kitu mafuta ( Anglo fon) iliyopakana na Nigeria, Dhahabu, almasi, mbao/miti, ardhi nzuri ya rotuba kilimo etc