Rais Paul Kagame aahidi kuwasweka gerezani mahujaji wa Kikatoliki wanaotukuza ufukara

Rais Paul Kagame aahidi kuwasweka gerezani mahujaji wa Kikatoliki wanaotukuza ufukara

Mwisho wake umekaribia,ila wwe haupo mjenzi huru kwel!
Siko huko mkuu. Wala sikubaliwi kuingia.

Ngoja nikuelimishe kitu kimoja cha msingi kabisa kuhusu hao wajenzi huru kama huwajui.

Kuwa mjenzi huru sharti lao la kwanza ni lazima uwe unaamini Mungu au nguvu fulani kama ya kimungu.

Na mimi siamini vyote hivyo.

Maana yake wewe ikiwa unaamini Mungu, tukienda wewe na mimi kuomba kujiunga, wewe utakubaliwa halafu mimi nitakataliwa.

Maana yake wewe upo karibu nao na wanakukubali zaidi kuliko mimi.
 
Mwisho wake umekaribia,ila wwe haupo mjenzi huru kwel!
Naongea nao hapa.

Wanasema hivii.

"There are certain truths, holy truths, present, and future condition.They most certainly exist.

In each century they veiled their teachings. This diseased world requires help.To act is therefore our first purpose. To make the world better and wiser. We do not recruit for our own benefit. This is a labor worthy of the holy legion of better men."

Tafuta hii documentary.


View: https://youtu.be/G_Rl6fuuxXw?si=9pWPxdX9DNAQX5XO
 
Nchi zetu hizi zinazoendelea watu wake wana matatizo mengi. Jamii hizi au watu hawa akil; fikira na mawazo yao yako tu kwenye hela. Wao wanawaza tu hela. Hili ni tatizo na hatari kubwa kwa ustawi wa watu.

Kanisa katoliki halijatangaza kuthibitisha hilo eneo la Kibeho kwamba ni kweli Mama Yetu Bikra Maria aliwatokea watoto hapo. Sasa, swali ni je, kwanini maelefu ya watu wanaelekea huko kwa ajili ya hija?

Hapa kuna sababu ya uhuru ambayo ni lazima ifahamike kuwa, ili uwe huru lazima utumie vizuri akili inavyotakiwa kinyume chake ni kujiangamiza na kwa upande mwingine, na hapa ndipo kwenye tatizo kubwa, Kanisa halijafundisha na kufafanua wazi mafundisho yake kwa waamini wake.

Kwa mfano, ni maeneo gani watu au waamini wanapaswa kwenda kusali kwa ajili ya hija, kwanini.

Unajua ukienda mataifa yalioendelea, kwa mfono Marekani, Japani, na Ulaya Magharibi huwezi kukuta watu wakifanya vitu au mambo yanayofanyika huku kwetu Afrika.

Mataifa hayo watu wake ni waamini: wanazingatia Sakramenti na Amri Kumi za Mungu, lakini hawamtegemei Mungu; kwamba wameacha mambo yote kwake badala yake wanajifunza na kufuatilia kila kitu kwa makini na hali ya juu sana.

Ukweli kwamba kuna Mungu hauwazuii kuacha kufuatilia vitu na mambo kwa kina. Kwa sababu hiyo wamekuwa watu wa kufanya tafiti nyingi kwa muda wote kuhusu Mungu Mwenyewe na pia Ulimwengu.

Huku kwetu Afrika mambo ni tofauti kabisa. Watu hawajifunzi na hawafuatilii mambo na vitu; hawafanyi tafiti. Ni watu wasioruhusu akili yao ijifunze, ichunguze na kufuatilia mambo kuhusu Mungu na ulimwengu badala yake wanasema mipango ya Mungu
 
Nchi zetu hizi zinazoendelea watu wake wana matatizo mengi. Jamii hizi au watu hawa akil; fikira na mawazo yao yako tu kwenye hela. Wao wanawaza tu hela. Hili ni tatizo na hatari kubwa kwa ustawi wa watu.

Kanisa katoliki halijatangaza kuthibitisha hilo eneo la Kibeho kwamba ni kweli Mama Yetu Bikra Maria aliwatokea watoto hapo. Sasa, swali ni je, kwanini maelefu ya watu wanaelekea huko kwa ajili ya hija?

Hapa kuna sababu ya uhuru ambayo ni lazima ifahamike kuwa, ili uwe huru lazima utumie vizuri akili inavyotakiwa kinyume chake ni kujiangamiza na kwa upande mwingine, na hapa ndipo kwenye tatizo kubwa, Kanisa halijafundisha na kufafanua wazi mafundisho yake kwa waamini wake.

Kwa mfano, ni maeneo gani watu au waamini wanapaswa kwenda kusali kwa ajili ya hija, kwanini.

Unajua ukienda mataifa yalioendelea, kwa mfono Marekani, Japani, na Ulaya Magharibi huwezi kukuta watu wakifanya vitu au mambo yanayofanyika huku kwetu Afrika.

Mataifa hayo watu wake ni waamini: wanazingatia Sakramenti na Amri Kumi za Mungu, lakini hawamtegemei Mungu; kwamba wameacha mambo yote kwake badala yake wanajifunza na kufuatilia kila kitu kwa makini na hali ya juu sana.

Ukweli kwamba kuna Mungu hauwazuii kuacha kufuatilia vitu na mambo kwa kina. Kwa sababu hiyo wamekuwa watu wa kufanya tafiti nyingi kwa muda wote kuhusu Mungu Mwenyewe na pia Ulimwengu.

Huku kwetu Afrika mambo ni tofauti kabisa. Watu hawajifunzi na hawafuatilii mambo na vitu; hawafanyi tafiti. Ni watu wasioruhusu akili yao ijifunze, ichunguze na kufuatilia mambo kuhusu Mungu na ulimwengu badala yake wanasema mipango ya Mungu
Mkuu,

Unasema Kanisa Katoliki halijathibitisha hilo eneo la Kibeho Bikira Maria alitokea, hii makala inapingana na wewe na inasema Kanisa Katoliki limethibitisha.

"The first Marian apparitions at Kibeho occurred in 1981 and they were recognized by the Church in 2001. The site has since become a popular place of pilgrimage for Catholics from all over the world, hoping for a miracle or a cure."

 
Jana chombo cha habari ya Ufaransa kimeripoti Rais wa Rwanda Paul Kagame kuwaonya mahujaji wa kikatoliki kwa kuabudu umaskini.

Sasa nimeelewa kwa nini hawa watu wako so much against Uwekezaji kwenye Bandari yetu unaotarajiwa kuiletea nchi yetu mapinduzi makubwa ya kiuchumi.

Taratibu tunaanza kuelewa kwa nini hii nchi ni maskini


=====


Rwanda's Kagame warns Catholic pilgrims who 'worship poverty'​


Kigali (AFP) – Rwandan President Paul Kagame has threatened to round up Catholic faithful who visit pilgrimage sites in his country, accusing them of "worshipping poverty".

Issued on: 24/08/2023 - 13:40Modified: 24/08/2023 - 20:43
Paul Kagame has ruled Rwanda with an iron fist since the end of the 1994 genocide
Paul Kagame has ruled Rwanda with an iron fist since the end of the 1994 genocide © Chris Jackson / POOL/AFP/File
"I learned that many young people, as many as thousands... wake up in the early morning, walk for three days to go to (a place) where a vision appeared, a pilgrim land, a place associated with poverty," Kagame told a youth conference on Wednesday.

"I thought that when you pray, you are praying for what can help improve your lives, praying to get rich and get out of poverty," he said.

"No one must worship poverty. Do not ever do that again... If I ever hear about this again, that people travelled to go and worship poverty, I will bring trucks and round them up and imprison them, and only release them when the poverty mentality has left them," said Kagame, himself a Catholic.

Every year thousands of people, many travelling for several days on foot, visit Kibeho, a town in southern Rwanda where the Virgin Mary is said to have appeared to three schoolgirls four decades ago.

But a spokeswoman for the government on Thursday denied that Kagame was referring to Kibeho in his speech, telling AFP that he was likely speaking about a little-known site in western Rwanda.

"In his address at the youth event, President Kagame did not at any point mention a specific pilgrimage site, and certainly not Kibeho," Yolande Makolo said.

"What he was most likely referring to is an informal pilgrimage-type event that takes place in Rutsiro district, and the point was to encourage young Rwandans to be ambitious and work hard, instead of getting caught up in cult-like rituals," she said.

It is not clear what prompted the outburst by Rwanda's iron-fisted ruler and the Catholic Church in the country has not yet made any public comment.
Almost all Rwandans are Christians, with Catholics making up roughly half the population.

© 2023 AFP


The Boss Crimea GENTAMYCIME FaizaFoxy Suzy Elias denooJ Tindo Kalamu GUSSIE
@Johnthebabtist THE CHOICE Variables Lucas Mwashamba

Muwe na siku njema.
 
Mtaokoteza vimaneno vya kila aina. Ila mwisho wa siku wenye akili timamu tunafahamu fika Kanisa Katoliki halijawahi kupinga uwekezaji wa aina yoyote ile, na wenye maslahi kwa nchi.

Kinachopingwa na Kanisa, ni yale mapungufu ya mkataba! Na ambayo serikali haitaki kukaa na mwekezaji ili yarekebishwe.
 
Back
Top Bottom