Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda wamechukizwa na ile kauli "...there is a city in Africa cleaner than New York ikatajwa Kigali"Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
Wazungu hawana jema.Alipokuwa anawavushia madini ya damu toka DRC hawakumuona kama mhalifu, leo hii kawa mbaya kwao?