Rais pekee ambaye aliingia Ikulu akakuta kuna pesa Hazina alikuwa Kikwete. Waliofuatia...

Rais pekee ambaye aliingia Ikulu akakuta kuna pesa Hazina alikuwa Kikwete. Waliofuatia...

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hayati Magufuli aliingia Hazina kukiwa kumepigwa sana hamna kitu, Samia naye ameingia watu wamepiga sana pesa Hazina hakuna kitu.

Watu wanajua wakati wa Uchaguzi ndio wakati wa kupiga pesa za umma. Na kwa kuwa watanzania ni wapole. Wanamwachia Mungu. Mungu naye anawatizama anasema "nyie mabwege kweli pesa zenu ambazo nimewapa akili mzisimamie mnataka nazo mimi ndio niwaangalizie"

Anatuachia sisi wenyewe. Mwisho wa siku anaachiwa Shetani na watoto wake. Wanachukua pesa wanajilimbikizia nyingi sana. Wananogewa na Uongozi hawataki kutoka. Wanaendelea kupokezana kijiti. WANALAMBA ASALI.
 
Hata Magufuli aliacha pesa mingi,

Kama huamini waulize Ile ripoti ya nn kilikuwamo Kwa KIBUBU alipofariki kwanini imekaliwa😳😳
 
Ripoti Ile ikiwekwa wazi, hapo ndo tutajua kama Magu aliacha pesa au hakuacha.

Bt kufanya conclusion kuwa hakuacha while ripoti ya uchunguzi imekaliwa, Bado tutakuwa hatufanyi KAZI Kwa weledi.
 
Kama Magufuli alikuta Hazina hakuna kitu,aliwezaje basi kufanya miradi mikubwa kwa miaka takribani mitatu bila ya kukopa?.
Na nini kilimpelekea akaanza kukopa katika miaka mitatu ya mwisho?.
 
Hayati Magufuli aliingia Hazina kukiwa kumepigwa sana hamna kitu, Samia naye ameingia watu wamepiga sana pesa Hazina hakuna kitu.

Watu wanajua wakati wa Uchaguzi ndio wakati wa kupiga pesa za umma. Na kwa kuwa watanzania ni wapole. Wanamwachia Mungu. Mungu naye anawatizama anasema "nyie mabwege kweli pesa zenu ambazo nimewapa akili mzisimamie mnataka nazo mimi ndio niwaangalizie"

Anatuachia sisi wenyewe. Mwisho wa siku anaachiwa Shetani na watoto wake. Wanachukua pesa wanajilimbikizia nyingi sana. Wananogewa na Uongozi hawataki kutoka. Wanaendelea kupokezana kijiti. WANALAMBA ASALI.
Hivi nani aliwaambia watu kuwa hazina ni kakibuyu kamejaa pesa? Hakuna mtu huacha pesa hazina.
 
Tumwombe Mwenye Enzi Mungu SSH akiondoka aache mapesa mengi na ya kumwagika, kwa Mungu yote yanawezekana walahi [emoji3590]
 
Hayati Magufuli aliingia Hazina kukiwa kumepigwa sana hamna kitu, Samia naye ameingia watu wamepiga sana pesa Hazina hakuna kitu.

Watu wanajua wakati wa Uchaguzi ndio wakati wa kupiga pesa za umma. Na kwa kuwa watanzania ni wapole. Wanamwachia Mungu. Mungu naye anawatizama anasema "nyie mabwege kweli pesa zenu ambazo nimewapa akili mzisimamie mnataka nazo mimi ndio niwaangalizie"

Anatuachia sisi wenyewe. Mwisho wa siku anaachiwa Shetani na watoto wake. Wanachukua pesa wanajilimbikizia nyingi sana. Wananogewa na Uongozi hawataki kutoka. Wanaendelea kupokezana kijiti. WANALAMBA ASALI.
Jiwe aliacha hela nyingi sana
 
Back
Top Bottom