Rais Putin afanya ziara ya kushtukiza Mariupol Ukraine na Crimea

Rais Putin afanya ziara ya kushtukiza Mariupol Ukraine na Crimea

whiteskunk

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
3,904
Reaction score
9,342
ICC kazi kwao kumkamata, yupo Ukraine anavinjari mitaa ya mauripol



===
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine

Putin aliutembelea pia mji wa Ukraine wa Mariupol unaokaliwa kimabavu huku Mahakama ya wazungu wa ulaya magharibi wakibaki midomo wazi wasijue cha kumfanya.

Ziara ya Putin inajiri siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC kutoa waranti wa kukamatwa kwake kwa uhalifu wa kivita, ikimtuhumu kwa uwajibikaji katika utekaji nyara wa watoto nchini Ukraine.

Moscow imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama hiyo. Kyiv inasema tangu kuanza kwa uvamizi huo Februari 2022, zaidi ya watoto 16,000 wa Ukraine walihamishwa kinyume cha sheria kuelekea Urusi. Wakati huo huo, mapigano makali yanaendelea huko Donetsk hasa katika mji wa Bakhmut.
 
IMG_20230319_134735.jpg
 
Hii vita iishe kwa kweli wakae mezazi people will die there is no end. .

Watu siku hizi wanajenga madaraja infekuwa poa kama nchi zikiingana ubonafsi mbaya sana wangeunganisha tu Russia na Ukraine.
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine

Putin aliutembelea pia mji wa Ukraine wa Mariupol unaokaliwa kimabavu huku Mahakama ya wazungu wa ulaya magharibi wakibaki midomo wazi wasijue cha kumfanya.

Ziara ya Putin inajiri siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC kutoa waranti wa kukamatwa kwake kwa uhalifu wa kivita, ikimtuhumu kwa uwajibikaji katika utekaji nyara wa watoto nchini Ukraine.

Moscow imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama hiyo. Kyiv inasema tangu kuanza kwa uvamizi huo Februari 2022, zaidi ya watoto 16,000 wa Ukraine walihamishwa kinyume cha sheria kuelekea Urusi. Wakati huo huo, mapigano makali yanaendelea huko Donetsk hasa katika mji wa Bakhmut.

Mwamba ametua huko huko Ukraine

kama mwanachama na raia wa marekani ya kimboka, miliopo nyegezi ..wamrekani wa kisijui, wa makutopora wa huko kutukuy mna ushauri gani?

64817378_803.jpg
unaambiwa anga lote lilifungwa huko NATO wakibaki midomo wazi kila mmoja akimuuliza mwenzie nani wa kumkamata mwamba huyu
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine...
Nilitaka nianzishe uzi wa hii ziara nikakuta tayari umeniwahi. Kichwa changu cha habari kingekuwa Putin afanya ziara kukagua miradi ya maendeleo Crimea na Mariupol

Kwa sababu wakati askari wa Ukraine wakitajwa kufanya vizuri kuviendesha vifaru vya challenger 1 jna 2 vya UK taarifa zinaonesha miji ya Crimea na Mariupol imeshabadili mifumo yote kuanzia mabenki mpaka mitaa kuwa ya kirusi.Watu wake wameshachukua paspoti za Urusi.
 
ICC kazi kwao kumkamata, yupo Ukraine anavinjari mitaa ya mauripol

View attachment 2557853

===
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine
Putin aliutembelea pia mji wa Ukraine wa Mariupol unaokaliwa kimabavu huku Mahakama ya wazungu wa ulaya magharibi wakibaki midomo wazi wasijue cha kumfanya.

Ziara ya Putin inajiri siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC kutoa waranti wa kukamatwa kwake kwa uhalifu wa kivita, ikimtuhumu kwa uwajibikaji katika utekaji nyara wa watoto nchini Ukraine.

Moscow imetupilia mbali uamuzi wa Mahakama hiyo. Kyiv inasema tangu kuanza kwa uvamizi huo Februari 2022, zaidi ya watoto 16,000 wa Ukraine walihamishwa kinyume cha sheria kuelekea Urusi. Wakati huo huo, mapigano makali yanaendelea huko Donetsk hasa katika mji wa Bakhmut.
Hakuwa Putin kilikuwa kinyago cha Putin na wenye Intelligence zao wamesha sema. Hakuwa Putin
 
[emoji264] [emoji635][emoji288]Putin:"If we still decide not to extend the "grain deal" after 60 days, then we are ready to deliver all the volume that was sent to the countries in need in Africa during the previous time from Russia to these countries for free."
 
Back
Top Bottom